Wazungu wana IQ ndogo sana

Wazungu wana IQ ndogo sana

Kwenye demokrasia ni kazi sana kukabiliana na matatizo efficiently. Kila mtu anapaswa kusikilizwa. Kila mtu anasauti jinsi nchi iende. Huwezi fanya maamuzi ya maana kama unataka kuwaridhisha watu wengi/wote.
Indeed
 
una hitaji kuwa na akili kubwa, tena kubwa sana ili kujua ni kwanini hiyo vita ya ulaya kati ya baba na mwana imeachwa ipigane…...
 
Sasa kama mtu anakuletea shida na unashindwa zitatua si maana yake kakushinda akili?
Mi naona kama hiyo ni ishara ya kukosa akili! Kumsababishia mwenzio matatizo ndiyo kuwa na akili!?? Kwa mfano, nikikuchonganisha wewe na mkeo kwa lengo la kuchukua mkeo nina akili? Mi naona ni upumbavu! Hapo sina self control, inawezekana uwezo wangu wa kufikiri ni mkubwa lakini akili yangu kuchakata ninayofikiri na kuwaza na kuchagua yaliyosahihi ni ndogo! Yaani kushindwa kutumia akili yangu vizuri pia ni upumbavu tu! Badala ya kutumia vipaji vyangu kufanya mambo mazuri kwa manufaa yangu na jamii mimi naumiza watu! Wengine wanapolia mimi nafurahia, mi naona huo ni upumbafu! Ni kukosa akili!
 
Mi naona kama hiyo ni ishara ya kukosa akili! Kumsababishia mwenzio matatizo ndiyo kuwa na akili!?? Kwa mfano, nikikuchonganisha wewe na mkeo kwa lengo la kuchukua mkeo nina akili? Mi naona ni upumbavu! Hapo sina self control, inawezekana uwezo wangu wa kufikiri ni mkubwa lakini akili yangu kuchakata ninayofikiri na kuwaza na kuchagua yaliyosahihi ni ndogo! Yaani kushindwa kutumia akili yangu vizuri pia ni upumbavu tu! Badala ya kutumia vipaji vyangu kufanya mambo mazuri kwa manufaa yangu na jamii mimi naumiza watu! Wengine wanapolia mimi nafurahia, mi naona huo ni upumbafu! Ni kukosa akili!
Exactly
 
Mi naona kama hiyo ni ishara ya kukosa akili! Kumsababishia mwenzio matatizo ndiyo kuwa na akili!?? Kwa mfano, nikikuchonganisha wewe na mkeo kwa lengo la kuchukua mkeo nina akili? Mi naona ni upumbavu! Hapo sina self control, inawezekana uwezo wangu wa kufikiri ni mkubwa lakini akili yangu kuchakata ninayofikiri na kuwaza na kuchagua yaliyosahihi ni ndogo! Yaani kushindwa kutumia akili yangu vizuri pia ni upumbavu tu! Badala ya kutumia vipaji vyangu kufanya mambo mazuri kwa manufaa yangu na jamii mimi naumiza watu! Wengine wanapolia mimi nafurahia, mi naona huo ni upumbafu! Ni kukosa akili!
Survival for the fittest, kupata kwako shida ndio neema yake.
Dunia toka imeumbwa imekuwa hivyo. Anakuletea vita anaiba mali anapeleka kwake. Anakuletea vita anamega sehemu yako. Anakudunda unapata shida mnaingia makubaliano ya kuwa unamlipa kodi.
Kudai una akili halafu una dhiki ni sawa na kudai wewe msomi halafu huwezi tatua changamoto zinazokukabiri.
 
Survival for the fittest, kupata kwako shida ndio neema yake.
Dunia toka imeumbwa imekuwa hivyo. Anakuletea vita anaiba mali anapeleka kwake. Anakuletea vita anamega sehemu yako. Anakudunda unapata shida mnaingia makubaliano ya kuwa unamlipa kodi.
Kudai una akili halafu una dhiki ni sawa na kudai wewe msomi halafu huwezi tatua changamoto zinazokukabiri.
Huo haukuwa mpango wa muumbaji
 
Dunia ni yao hii.. mfukuzwe shauri zenu

Mnaletewa mikondomu mnatumia

Midawa ya ukimwi ni yao pia na ukimwi wao sisi tumeukubali et!!

Mnaletewa dawa za kubadirisha ngozi mnatumia

Mnafanyiwa na kubadirishwa maumbo mnalipia pesa nyingi kisha mnakuja kulalamika inawadhuru

Dawa zote zilizojaa muhimbili na hospital zote Tanzania “ wao ndio chanzo kikuu

Dawa za korona, chanjo na hiyo corona yenyewe yao na wametuletea na tumekubali


Mashine za kupima magonjwa yote kifua kikuu, ukimwi, damu, zote ni zao

Madini/mafuta mashine za kuchakata zote zimetoka kwao

Magari na ndege zote tulizokopa ni zao na hayo madeni wanayotudai pia “ nchi ni yao

Nguo/viatu za nchini karibia zote wanatengeneza wao

Mabarabara yote yenye grade nzuri wao ndio wenye wakandarasi wazuri

Nchi inashindwa kutengeneza hata kiwembe hii

Simu,laptop, zote zinatoka kwao

Mabinti wadogo wa Africa wana olewa na mababu wa kizungu.. mabinti ni wao

Kama unaona kuna kampun ya soda sijui biscut na ubuge mwengine kwenye hiyo kampuni lazima kuwe na mzungu analipwa fungu kubwa kwa kusimamia kazi ni wao pia

Kweli nimeamini tenda wema 99% na uje kufanya kosa 1% tu mema yote yatafutika kwa sababu ya kosa dogo tu.. na hata hiyo vita inayoendelea huko ni yao ila sisi huku mafuta na bidhaa zingine zishaanza kutushinda..

Sisi sio wapumbavu sana..
 
kweli mkuu hebu fikiria wameiwekea Urusi vikwazo ambavyo vinawaumiza wao zaidi halafu hiyo NATO wanayoihangaikia iko pale kwa maslahi ya mmarekani laiti kama wangetengeneza uhusiano mwema na mrusi uchumi wao ungekuwa juu kwelikweli
 
Mtu aje kutishia usalama wako wa familia/taifa lako alaf umuangalie si utakuwa mpumbavu wewe unatakiwa umtandike kwa nguvu yeyote ile.. kama ukiacha familia yako iteketee kwa ujinga wa kimtu kimoja tu.. wewe utakuwa baba gani! Sasa .. shem
 
Back
Top Bottom