MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Ha ha haAcha kumsingizia baba wa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haAcha kumsingizia baba wa watu
IndeedKwenye demokrasia ni kazi sana kukabiliana na matatizo efficiently. Kila mtu anapaswa kusikilizwa. Kila mtu anasauti jinsi nchi iende. Huwezi fanya maamuzi ya maana kama unataka kuwaridhisha watu wengi/wote.
Ni kweli maana Mpumbavu ni yule amabae anajua anaongozwa na asiye na akili na akakubali😂😂😂 Bas waafrika ni WAPUMBAVU kama unajiona una akili lakini bado unaongozwa na hasiye na akili wewe ni MPUMBAVU
Wewe ni mzungu wa wapi, kwa mtogole?tengezeni ata simu zenu basi waafrica sio unatumia simu zao kuwapondea huo ni ushoga
ExactlyWazungu wengi wajinga..na kama umeishi nao ndo utajua kuwa hamna kitu
Mi naona kama hiyo ni ishara ya kukosa akili! Kumsababishia mwenzio matatizo ndiyo kuwa na akili!?? Kwa mfano, nikikuchonganisha wewe na mkeo kwa lengo la kuchukua mkeo nina akili? Mi naona ni upumbavu! Hapo sina self control, inawezekana uwezo wangu wa kufikiri ni mkubwa lakini akili yangu kuchakata ninayofikiri na kuwaza na kuchagua yaliyosahihi ni ndogo! Yaani kushindwa kutumia akili yangu vizuri pia ni upumbavu tu! Badala ya kutumia vipaji vyangu kufanya mambo mazuri kwa manufaa yangu na jamii mimi naumiza watu! Wengine wanapolia mimi nafurahia, mi naona huo ni upumbafu! Ni kukosa akili!Sasa kama mtu anakuletea shida na unashindwa zitatua si maana yake kakushinda akili?
ExactlyMi naona kama hiyo ni ishara ya kukosa akili! Kumsababishia mwenzio matatizo ndiyo kuwa na akili!?? Kwa mfano, nikikuchonganisha wewe na mkeo kwa lengo la kuchukua mkeo nina akili? Mi naona ni upumbavu! Hapo sina self control, inawezekana uwezo wangu wa kufikiri ni mkubwa lakini akili yangu kuchakata ninayofikiri na kuwaza na kuchagua yaliyosahihi ni ndogo! Yaani kushindwa kutumia akili yangu vizuri pia ni upumbavu tu! Badala ya kutumia vipaji vyangu kufanya mambo mazuri kwa manufaa yangu na jamii mimi naumiza watu! Wengine wanapolia mimi nafurahia, mi naona huo ni upumbafu! Ni kukosa akili!
Survival for the fittest, kupata kwako shida ndio neema yake.Mi naona kama hiyo ni ishara ya kukosa akili! Kumsababishia mwenzio matatizo ndiyo kuwa na akili!?? Kwa mfano, nikikuchonganisha wewe na mkeo kwa lengo la kuchukua mkeo nina akili? Mi naona ni upumbavu! Hapo sina self control, inawezekana uwezo wangu wa kufikiri ni mkubwa lakini akili yangu kuchakata ninayofikiri na kuwaza na kuchagua yaliyosahihi ni ndogo! Yaani kushindwa kutumia akili yangu vizuri pia ni upumbavu tu! Badala ya kutumia vipaji vyangu kufanya mambo mazuri kwa manufaa yangu na jamii mimi naumiza watu! Wengine wanapolia mimi nafurahia, mi naona huo ni upumbafu! Ni kukosa akili!
Huo haukuwa mpango wa muumbajiSurvival for the fittest, kupata kwako shida ndio neema yake.
Dunia toka imeumbwa imekuwa hivyo. Anakuletea vita anaiba mali anapeleka kwake. Anakuletea vita anamega sehemu yako. Anakudunda unapata shida mnaingia makubaliano ya kuwa unamlipa kodi.
Kudai una akili halafu una dhiki ni sawa na kudai wewe msomi halafu huwezi tatua changamoto zinazokukabiri.
Ndio ulikuwa ukisoma vitabu vya dini watu walikuwa wanadundana na anakuwa upande flani anawabariki. Wengine hadi waliambiwa wakifika nchi ya Canan waue kila kitu si binadamu wala mnyama wala mtotoHuo haukuwa mpango wa muumbaji