MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
ExactlyHata Corona tu walivyoihandle ni upumbavu mtupu.
Maelfu wamekufa kwa njaa
Liberia, Rwanda, Somalia, Sudan, Afrika ya kati, Cameroon, Mali, Nigeria, Mozambique, Congo,Wasalaam wana JF
Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokua handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.
Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.
Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao
Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
Hilo Dr. Msukuma alikwishalitolea msimamoAise, vipi wale wa mto Mara wasomi kutoa ripoti kuwa kinyesi cha mifugo kama ng'ombe kusababisha uchafuzi wa mto Mara ulio kaskazini magharibi mwa Tanzania na kusababisha samaki ndani ya mto huo kufa na kuleta mashaka ya usalama wa watu wanaotumia maji ya Mto huo kwa matumizi mbalimbali ya kila siku.
Mzungu akikupa hiyo research yake ya vita, itakuonesha mpaka result.
Can't disqualify even compare IQ ya mzungu na ya mbongo
Iko wazi sana, shida hizo zote zinaletwa na wazunguLiberia, rwanda, somalia, sudan, afrika ya kati, cameroon, mali, nigeria, mozambique, congo,
Tuanze na hapa maana ni migogoro ya muda mrefu bado imetushinda. Usije sema wazungu ndio wanaichochea maana itakuwa ina maanisha kuwa wametushinda akili kiasi kwamba wanatumanipulate na hatuna la kufanya.
Sasa kama mtu anakuletea shida na unashindwa zitatua si maana yake kakushinda akili?Iko wazi sana, shida hizo zote zinaletwa na wazungu
Kwa hivyo hawa wanawake tuliowaoa wanapotuletea shida wametuzidi akili?Sasa kama mtu anakuletea shida na unashindwa zitatua si maana yake kakushinda akili?
Wakileta shida tunazitatua, ukishindwa kakuzidi akili huyo. Kutatua ni pamoja na kuachana naye, kumtafitia kiboko yake, n.k.Kwa hivyo hawa wanawake tuliowaoa wanapotuletea shida wametuzidi akili?
Wasalaam wana JF
Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokua handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.
Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.
Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao
Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
πππ Bas waafrika ni WAPUMBAVU kama unajiona una akili lakini bado unaongozwa na hasiye na akili wewe ni MPUMBAVUIko wazi sana, shida hizo zote zinaletwa na wazungu
Hao hawana kabisa IQIsije kuwa unaongelea wazungu wa unga?
Shetani analeta shida ila awaongozi wanadamuπππ Bas waafrika ni WAPUMBAVU kama unajiona una akili lakini bado unaongozwa na hasiye na akili wewe ni MPUMBAVU
Hata Corona tu walivyoihandle ni upumbavu mtupu.
Maelfu wamekufa kwa njaa
Acha kumsingizia baba wa watuShetani analeta shida ila awaongozi wanadamu