Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
-
- #41
Mkuu uchawi umekuwa wangu tena?Unamaanishaje hapo?. Niko kwenye biashara karibia miaka 15. Lakini sijawahi kugusa hicho kitu unachosema. Wewe umewashuhudia wote wanaojishughurisha na biashara wanahusika na huo uchawi wako?
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Wachache sana ufanikisha.Unamaanishaje hapo?. Niko kwenye biashara karibia miaka 15. Lakini sijawahi kugusa hicho kitu unachosema. Wewe umewashuhudia wote wanaojishughurisha na biashara wanahusika na huo uchawi wako?
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
America ya Kaskazini watu wwnye origin huku wanaitwa Native Amwricans, pia zamani wakiitwa Red Indians.Wazungu naowatambua mm n wale wenye origin ya ulaya na america ya kaskazani ukiunganisha na australia.
Kuna kakitabu nilikasoma makraba walieleza wazungu walioenda Kongo jinsi walivyokuwa wakiumwa na kufa kwa kurogwa na wakongo. Wazungu walirogwa sana ila hawawezi kukuandikua kuwa walikufa kwa kurogwa, hip itawapa ujasiri na muwadharau. Mtawala huandika habar zake nzuri tu.Hichi kitu naona kama ni Cha kweli kabisa, wazungu ni wachawi ila wanakinga za kutosha kuzuia wasilogeke. Ndo mana enzi za ukoloni babu zetu walipata shida sana na uchawi wao kwa wazungu ulidunda .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kitu wewe wazungu wapo smart sana hao ni waswahili ndo wanaopigwa kizembe hivyo.Biashara ya kuuza majini inalipa sana mitandaoni na wengi ni matapeli basi wazungu wanaibiwa sana tu huko,unakuta mtu ana kila kitu lakini bado anapoteza hela zake kutaka kununua jini alifuge. Na hata hivi vitabu vya kishirikina vinauzwa sana mitandaoni na wazungu wananunua.
Upo sahihi, tofauti ni matumizi tu ila hao ndo wabobezi.Wazungu wanaoufahamu sana uchawi Africa ikasome!! Ila tu uchawi kwao unamatumizi tofauti kabisa na huu wa kwetu.
Sawa motivational speakerUchawi wa biashara mojawapo kati ya mengi ni kuanza kuwa na wazo jipya la biashara na sio kuiga kwa jirani. Lkn pia kujiangalia wewe una nini hasa upande wa uwezo na udhaifu wako lkn pia angalia fursa na matishio ya unachotaka kukifanya.
Hapo utajua una rasilimali zipi, una lengo gani na hatua zipi za kufuata kufikia malengo yako.
Ni vyema ukaandaa mpango wa biashara yako na kuwatambua wateja na washindani wako. Chunguza "gap" ambalo lipo ktk biashara za wenzako ambapo wateja wanahitaji lijazwe.
Na mengine mengi wataalamu wa masuala ya biashara watajazia.
Haya mambo ya kwa wataalamu ni mbwembwe tu na ni kuongeza gharama za mtaji wa biashara bila sababu.
Mtazamo!
BeberuWazungu ni nani? Define hiyo term "mzungu".
Unajuaje huyu mzungu, na huyu si mzungu?
Tuanzie hapo kwanza.
Mimi nazungumzia matukio ambayo yapo kiuhalisia yanatokea ila wewe unaleta mitazamo yako binafsi kuhusu wazungu.Hujui kitu wewe wazungu wapo smart sana hao ni waswahili ndo wanaopigwa kizembe hivyo
Ngoja nikujibu vizuri maana kuna mdau analalamika kwamba wewe ni mbishi sana.Wazungu ni nani? Define hiyo term "mzungu".
Unajuaje huyu mzungu, na huyu si mzungu?
Tuanzie hapo kwanza.
Ngoja nikupuuze tu maana umehama mada alafu umeanza matusi huenda reasoning capacity yako ipo chini ya kiwango.Mimi nazungumzia matukio ambayo yapo kiuhalisia yanatokea ila wewe unaleta mitazamo yako binafsi kuhusu wazungu.
Ukiwafikiria hivyo wazungu basi unaweza hata ukafiri hakuna omba omba wa kizungu.
ukitaka amini wazungu ni wachawi ujenzi wa madaraja haya ya kawaida. bwana weee! Wana sarakasi si kawaida. Hapo mweusi huitwi. Unasubiri nje Kama lile la kirumi. TARIME/ musoma jamani wee! walikuwa wanajenga usiku tu. Hapo ni baada ya company kibao kushindwa.Wazungu wanaongoza kwa uchawi na wana majini makali sana.
weye nae hujui ni muongo!!. Mzungu hajatoka Israel ya leo , alivamia tu pale.Ngoja nikujibu vizuri maana kuna mdau analalamika kwamba wewe ni mbishi sana.
Mzungu ni mtu au watu waliosambaza dini ya ukristo sehemu mbalimbali Duniani japo kuna sehemu walikwama kama China, India nk
Islael ndo taifa ambalo Mzungu ametokea kiuasilia kabisa.
Sasa unaweza kuuliza maswali mengine kama unayo!
Naona km kuna ka ukweli ndg yangu. Nifanyeje nije huko hata ka kibarua tu ka kulisha nguruwe? Nimekwama southBiashara zao ni ubora wa bidhaa na huduma. Tz biashara haziendi kwa kuwa umasikini umezidi, watu hawana pesa za kutumia. Nchi zilizoendelea kuna ajira na kupelekea watu wengi kuwa na uwezo wa kufanya manunuzi, hivyo biashara zinashamiri.
Kuna siku nilikuwa natoka kazini New York City.Ngoja nikujibu vizuri maana kuna mdau analalamika kwamba wewe ni mbishi sana.
Mzungu ni mtu au watu waliosambaza dini ya ukristo sehemu mbalimbali Duniani japo kuna sehemu walikwama kama China, India nk
Islael ndo taifa ambalo Mzungu ametokea kiuasilia kabisa.
Sasa unaweza kuuliza maswali mengine kama unayo!
Sasa huyo si alikuwa anahubiri tu mbona hata huku bongo wapo wengi wa aina hiyo.Kuna siku nilikuwa natoka kazini New York City.
Nilipofika karibu kona ya Wall Street na Broadway, hapo kwenye New York Stock Exchange, nikakutana na mtu mmoja mweusi, anasema kwa accent nzito ya West Africa, kama ya Nigeria hivi, kasimama katikati ya barabara anahubiri habari za Ukristo.
Watu wanampita hawana habari naye, lakini yeye anahubiri tu.
Huyo naye alisambaza Ukristo.
Je, huyo naye ni mzungu?
Hapa sikuwa serious, hata hivyo nilitoa jibu lingine ambalo ni sahihi.Hata Magufuli naye beberu.
Je, Magufuli ni mzungu?