Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Habari zenu wakuu.
Moja kwa moja naomba niende moja moja kwenye mada.
Naomba kuuliza hivi wazungu nao hurogana katika small scale yani man to man? Diasporas naomba mtusaidie hili.
Habari zao za Ushirikiana tunazozile kubwa kubwa kama Freemason, Blue Order nk.
Maana kinachoonekana nikuwa wazungu wanatu-feed habari njema tu kuhusu wao:
Mara.....
- Wamekuja na technologia mpya
- Mara ooh watugawia misaada mbali mbali
- And blah blah blah
Moja kwa moja naomba niende moja moja kwenye mada.
Naomba kuuliza hivi wazungu nao hurogana katika small scale yani man to man? Diasporas naomba mtusaidie hili.
Habari zao za Ushirikiana tunazozile kubwa kubwa kama Freemason, Blue Order nk.
Maana kinachoonekana nikuwa wazungu wanatu-feed habari njema tu kuhusu wao:
Mara.....
- Wamekuja na technologia mpya
- Mara ooh watugawia misaada mbali mbali
- And blah blah blah