Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Hata wewe uliyezungumzia uchawi as upo unapaswa kulijibuHilo swali muulize mleta mada!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe uliyezungumzia uchawi as upo unapaswa kulijibuHilo swali muulize mleta mada!
Ona unavyoruka ruka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Define uthibitisho.
Thibitisha Hilo unalosema, tupe na mfanoWazungu hawana muda mchafu wa Imani chafu
Thibitisha uchawi upoYaan hawa watoto wa jf wananichekesha sana eti hakuna uchawi,,,guys usibishe uchawi haupo huku bado hujakutana na maswahibu ya kichawi,UCHAWI upo jamani acheni masihara
Sina mpango wa kujibuKwa nini?
Kuna swali hujalijibu.
Hata Mungu hatoi bureMungu hutupa sisi wanadamu wenye subira bureeee kabisa lakini shetani hana cha mambo ya bure kabisa yeye atakupa kwa haraka sana lakini utalipia kwa njia anayoijua yeye
Hivi vijiuchawi vyenu wazungu walikwisha vipitia miaka ya 1250 walishajua kuhusu miti na nguvu zake sympathea mage na vyote miaka ya 1500 wakaanza kuhifadhi taarifa muhimu juu ya uchawi mwaka 1700 wakaanza kuupiga marufuku imani hizi infact mama wa yote haya mauchawi ni Greece na Latin America nchi kama Egypt zili adopt tu hata Waarabu pia wali adopt kutoka Latinos infact pia stage ambayo wanayo wazungu ni tofauti sana na ya kwetu Mf wao anaweza chora tu tatoo fulani ikawa na majina fulani yenye siri fulani ikawa hawezi kulogeka kamwe hata ufanye nini na katunguri kako ka Kibantu.
Huyo jamaa anayetangatanga nje alikuwa ni msukule ama?Wazungu wana wanga sana, nilishuhudia hii nilipopanga kwenye nyumba ya kibibi kimoja cha kizungu wakati nasoma majuu. Kuna supermarket moja kubwa jamaa kama chizi hivi alikuwa anatangatanga nje ya hiyo supermarket na nafikiri wanatumia sana mapaka paka.
Itakuwa hivyo..ila tambua hawa jamaa hawatumii sana black magic kama ilivyo huku afrika. Wao wanawasiliana moja kwa moja na ibilisi na wana dhehebu lao wanajiita wajenzi huru au freemason na wana kampeni ya kushawishi kila mwanadamu amwasi Mungu na kujiunga nao na kuna kipindi wataanza kutumia nguvu, yaani chagua kujiunga nao ili uishi au kufa.Huyo jamaa anayetangatanga nje alikuwa ni msukule ama?
Kwa sababu huwezi kujibu.Sina mpango wa kujibu
Kuthibitisha ni nini?Ona unavyoruka ruka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"Thibitisha Kama Mtume Paulo alieneza ukristo"
Wewe SI unawaulizaga wengine wathibitishe Kama Mungu yupo, na wewe leo hii TUTHIBITISHIE KAMA MTUME PAULO ALIENEZA UKRISTO
ooh hapo nimekupata sasa.Itakuwa hivyo..ila tambua hawa jamaa hawatumii sana black magic kama ilivyo huku afrika. Wao wanawasiliana moja kwa moja na ibilisi na wana dhehebu lao wanajiita wajenzi huru au freemason na wana kampeni ya kushawishi kila mwanadamu amwasi Mungu na kujiunga nao na kuna kipindi wataanza kutumia nguvu, yaani chagua kujiunga nao ili uishi au kufa.
Nimejifunza kukaa kimya kwa maswali yasiyokuwa na maana.Hata wewe uliyezungumzia uchawi as upo unapaswa kulijibu
Huu wa huku kwetu ni mataka taka ndo maana hata hatuendelei....inakuwa kazi kuroga wengine ili wasifanikiwe mambo yao.ooh hapo nimekupata sasa.
Kwa maana hiyo huu uchawi wetu sijui wa sumbawanga au sijui simiyu unaosifika kwao hao ni cha mtoto sana si ndio?
Kweli kabisa Mkuu.Huu wa huku kwetu ni mataka taka ndo maana hata hatuendelei....inakuwa kazi kuroga wengine ili wasifanikiwe mambo yao.
Kama wanaweza kufanya mambo ya kipuuzi hao wazungu na kufanya maasi,sasa wanashindwa vp na kufanya uchawi? Ungesema uchawi ni katika mambo ya kipuuzi na wazungu hawana mambo ya kipuuzi hapo ndio ningekuelewa, ila kama kila jamii ina mambo ya kipuuzi basi tambua na uchawi pia upo kwenye kila jamii.Mambo ya kipuuzi sio uchawi na kila race inafanya, onesha/ Thibitisha/Tukumbushe uchawi waliowahi kuufanya.
Anayepaswa kuthibitisha ni yule anayesema jambo flani lipo, anapaswa aoneshe liko wapi.Thibitisha Hilo unalosema, tupe na mfano
Sio yasiyo na maana, sema huna jibuNimejifunza kukaa kimya kwa maswali yasiyokuwa na maana.
Samahani Kama nimekukwaza!
Hapana,huwezi kukurupuka na kuanza kudai uthibitisho wa kitu ambacho hujakielewa lazima kwanza ukifahamu hicho kitu.mtu anayedai uthibitisho dhidi ya jambo fulani nia yake apate kueleweshwa kutoka kwa mtu anayedai kitu hicho kipo
kulingana na namna ambavyo utathibitisha ndivyo nitakapopata concept ya kuuelewa