Wazungu wanatumia nusu saa kujaza uwanja sisi tunatumia siku nzima

Mifumo ya watu kuingia uwanjani ndo tatizo,

Kama ulishafika pale uwanja wa Taifa saa 1 kabla ya mechi utaelewa maana folen sio ya nchi hii mwishowe wengine wanakata tamaa na kuacha kuingia

Wenzetu wana mifumo ya uingiaji uwanjan mingi inaypeleka mtu direct kiti chake kilipo so hata afike dak 2 kabla ya game anaingia na anaangalia
 
Kuingia uwanjani bongo ni adhabu
 

Na kwanini mageti mengine hawafungui utakuta uwanja una mageti 10 ila unashangaawanafungua mawili tu au moja
 
Kuingia uwanjani bongo ni adhabu

Yaani ukiwaza kwenda Taifa kuangalia big game mtihani. Unawaza jinsi ya kupata tiketi, kuingia, pakukaa (manake hawafuati siti namba, unaeza ukakata vip halafu ukakuta imejaa wale askari wa pembeni wa kuwapa 10 au 5 wanakufungulia kamba ya vip ukiwa ushaingia) on top sasa basi uwaze na kuibiwa simu, wallet ect na ukiwa n gari ndio kabisa uwaze usalama wa gari, parkings ect. Sasa hiyo ni starehe au karaha
 
Karaha kabisa bora ukae zako home ucheki luningani na pepsi yako bariiidi
 
Ulaya unafananisha na huku porini kwenye watu wamemaliza O level na awajui kusoma na kuandika!
Kumbe inahitaji kuwa na degree kuweza kuingia uwanjani nusu saa kabla ya game
 
Kumbe inahitaji kuwa na degree kuweza kuingia uwanjani nusu saa kabla ya game
hata kama wakisema wabongo wenye degree ndo wanaruhusiwa kuingia bado uwanja utajazwa kwa siku nzima na sio nusu saa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…