#COVID19 “Wazungu” wanavyoiona Tanzania baada ya kukubali chanjo za Corona

#COVID19 “Wazungu” wanavyoiona Tanzania baada ya kukubali chanjo za Corona

Nacopy na kupaste kutoka Youtube!

SMISH's Raw Nature Review

2 days ago
I'll finish the title "Tanzania Embraces Vaccines After Their Anti Vax President was assassinated by Big Pharma!

Jon S

2 days ago
@Slo Moe They'd release another one that goes: "vax it or mask it". So far, I've seen videos of teenagers who got the jab and ended up in hospitals for severe side-effects but you won't see that on CNN, MSNBC, etc. Not even the floods in Utah and Arizona. Big MSM has only one job now - to sing the praises of Big Pharma's concoctions until everyone takes it
 
Hii ni video ya dakika moja lakini mpaka sasa imetazamwa na watu zaidi ya 60,000 na kuchangiwa na watu zaidi ya 1,500 ndani ya masaa 24

Kilichovuta hisia yangu ni maoni ya wachangiaji ambao wengi wao ni watu kutoka Marekani na Ulaya kwa sababu ni Youtube channel inayohusu Europe and USA affairs.

Kama bando lako la intaneti halitoshi huhitaji kuangalia video, fungua maoni ya wachangiaji usome na hii itakuonyesha mtazamo wa “wazungu” kuhusu Tanzania kwenye suala la UVIKO-19.

''Wazungu'' wanashangaa sana kinachoendelea nchini!

Mungu Ibariki Tanzania!

VIDEO

Wana CCM huwa siwaelewi.... Huwa maoni ya mitandaoni yakimkosoa JPM mnasema ooh anachukiwa mitandaoni na sio mtaani mara upinzani upo Twitter na youtube pekee!!! Ila mitandao hyo hyo ikitoa hoja zinazowafurahisha mnaziona kama ni credible source!!

Ningeomba upite reddit jukwaa linaitwa r/conspirancy uone comment za kumkejeli JPM alivyoshughulikia Covid 19!! Then uniambie maoni ya US community ikoje juu yetu
 

orangeblood307

1 day ago
Notice how 5 of the world leaders who denied the vaccine all died?

13

REPLY


Hide 2 replies


LightForce333

1 day ago
President of Belarus resisted and they've been trying to take him out too, but he stands strong with Putin's support.


REPLY



ThinkInsideTheBox SquareCircle

ThinkInsideTheBox SquareCircle

1 day ago (edited)
Nothing to see here! Move along folks!😳😳😳

John Hepbean

John Hepbean

1 day ago
Ahhh yes, after the non covid believing president dies of a sudden heart attack, the campaign starts, gotta say hmmmmm on this one.

6

REPLY


Hide reply

Scott F

Scott F

1 day ago
HOW COINCIDENTAL. Same in Haiti too. Man so many coincidences in this world. This can't be part of any larger agenda. Surely our health experts LOVE us. Thank god for pharmacy companies. Pfizer deserves the record earnings they just reported, and rapid approval for the 3rd booster. The booster hesitant are responsible for the delta variant. ROLL UP YOUR SLEEVES AGAIN and take the 3rd jab so you don't kill grandma. We'll let you take your mask off for 2 months after and then say that the booster isn't working and you're gonna have to mask up again until we have a booster for the 2022 midterm variant. Sorry, polls too dangerous, we need to have another mail-in election. Open your eyes. This is about more than a virus, this is about more than a vaccine. If you can't see it I don't know what to say. Some are just blind
 
Wakuu naomba tuendelee kufuatilia "wenzetu wa Ulimwengu wa kwanza" wanavyozisema chanjo zinazotengenezwa kwao, kwa ugonjwa unaowaua sana wao"....


Raptor x

1 day ago
You are about to see Covid surge out of control in Tanzania, that is why they had to kill Magufuli and replace him with this puppet
 
Hii ni video ya dakika moja lakini mpaka sasa imetazamwa na watu zaidi ya 60,000 na kuchangiwa na watu zaidi ya 1,500 ndani ya masaa 24

Kilichovuta hisia yangu ni maoni ya wachangiaji ambao wengi wao ni watu kutoka Marekani na Ulaya kwa sababu ni Youtube channel inayohusu Europe and USA affairs.

Kama bando lako la intaneti halitoshi huhitaji kuangalia video, fungua maoni ya wachangiaji usome na hii itakuonyesha mtazamo wa “wazungu” kuhusu Tanzania kwenye suala la UVIKO-19.

''Wazungu'' wanashangaa sana kinachoendelea nchini!

Mungu Ibariki Tanzania!

VIDEO

Hapo tu kama hujaona biashara tu utakua mjinga fulani. Inaelekea mama akili yake haina uwezo kudadavua ila kupokea tu taarifa mradi ni wakuu wa taasisi za kimataifa. Taifa bado halijapata mrithi wa jpm.
 
Mama anachoongelea hapo ni idadi ya Chanjo zilizoletwa ni ndogo na sio idadi ya Watu waliojiokeza ili kwenda kuchanjwa hizo subtitles zinapotosha.
 
Mara ya kwanza kusikia JPM ametutoka kuna vitu viwili viliingia kichwani kimoja ni haiwezekani Rais wa nchi kufa kirahisi namna hii hata Watanzania hatukuwahi kuambiwa kuwa ni mgonjwa au lah ila Mungu ni Mwema kama kuna uhuni ulifanyika bhasi Mungu atalipa hapa hapa Duniani 😢😢😢😢😢😢

Kama siku ikitokea napewa nafasi ya kumuuliza swali Samia au Kassim swali langu ningeuliza why walitudanganya watanzania kuwa kiongozi wetu yupo na anapiga kazi wkt wanajua si kweli?
Imagine wengi tulishangaa Rais anakufaje kama raia wa kawaida?????bado kinatuuma kwa kweli na hatuchanji ng'o
 
Hii ni video ya dakika moja lakini mpaka sasa imetazamwa na watu zaidi ya 60,000 na kuchangiwa na watu zaidi ya 1,500 ndani ya masaa 24

Kilichovuta hisia yangu ni maoni ya wachangiaji ambao wengi wao ni watu kutoka Marekani na Ulaya kwa sababu ni Youtube channel inayohusu Europe and USA affairs.

Kama bando lako la intaneti halitoshi huhitaji kuangalia video, fungua maoni ya wachangiaji usome na hii itakuonyesha mtazamo wa “wazungu” kuhusu Tanzania kwenye suala la UVIKO-19.

''Wazungu'' wanashangaa sana kinachoendelea nchini!

Mungu Ibariki Tanzania!

VIDEO


Moja, kuna haja ya mjadala kuhusu “kukubali” au “kukataa” chanjo?

Mbili, kisheria nchi inaweza kukataa wananchi wake wasichanjwe chanjo za Covid-19? Kwa maana ya kutunga sheria na kuikazia (enforce) kupitia vyombo vya dola ikiwemo mahakama.

Tatu, Tanzania inaweza kutekeleza kanuni ya “reciprocity” kuhusu chanjo ya Covid-19 endapo raia wake watakumbana na kibano cha chanjo katika nchi zingine?

Baada ya chanjo kuletwa na kuruhusiwa kuja nchini kwa kanuni ya u hiari kwa watu binafsi (individuals) sioni sababu tena ya mjadala.

Isingekuwa haki kuzuia chanjo isiingie nchini kwa wanaoitaka labda kama kuna hoja yenye mashiko kuthibitisha kuwa uwepo wa chanjo hizo nchini utadhuru watu wasiotaka kuchanja.

Kama ni kasoro, dawa tunazotumia mahospitalini zina maandishi marefu katika “small print” yanayotahadharisha kiwango cha ufanisi na madhara yatokanayo. Tunatakiwa kusoma na kuamua.
 
Basi nenda kafungue kesi

Comment yako hii inaonyesha hujasoma michango ya wachangiaji kwenye comments za video!

Soma kwanza comments za waliotazama video na kutoa michango ya mawazo kabla ya kutoa “pumba” zako.
 
Ninachoona Tanzania inakataa chanjo kitaalamu sana kwa tahadhari
1. Mzigo umekubaliwa kuingia nchini
2. Kupata chanjo ni hiari (ni wewe na akili yako)
3. Kuna mtu (Gwajima) mwenye watu yupo mstari wa mbele kuipinga chanjo (ku manipulate akili za watanzania ili na wao wawaze na kufikiri mbali kuhusu chanjo)
Yule sidhani kama anaongea akiwa hana ufahamu, na wakubwa zake wasimkataze
Watanzania mnaamini sana katika conspiracy za kijinga jinga
 
Wana CCM huwa siwaelewi.... Huwa maoni ya mitandaoni yakimkosoa JPM mnasema ooh anachukiwa mitandaoni na sio mtaani mara upinzani upo Twitter na youtube pekee!!! Ila mitandao hyo hyo ikitoa hoja zinazowafurahisha mnaziona kama ni credible source!!

Ningeomba upite reddit jukwaa linaitwa r/conspirancy uone comment za kumkejeli JPM alivyoshughulikia Covid 19!! Then uniambie maoni ya US community ikoje juu yetu
Ingia subreddit ya r/nonewnormal uone hao hao us community waavozungumzia corona na chanjo
Tena huko ndio kuna mjadala ya kumake sense mpaka users wa humo ukicha hia wanafungiwa majukwaa mengine..

Jpm was a real G,aliipenda sana tz na wananchi wake.
 
Ukizisoma comments za watu wenye hiyo video zingine zinatoa tafakuri la kina kirefu!

Yaani baadhi ya watu wameishajua na kuhitimisha kilichomuondoa Rais Magufuli hapa duniani!
Magufuli mlitaka haishi milele nyie wapumbavu!!!!, Kubalini tu kuwa Sasa Rais Ni Samia na ndio amir jeshi mkuu,

Chanjo Ni hiali ya mtu,na inatuhusu sisi watu wazima above 40 years, hamjalazimishwa kuchanjwa
 
Back
Top Bottom