Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,702
Wewe mtoto wa mwanamke msimbe na mpumbavu sana, kwani wazungu hawachanjwi Chanjo ya Covid-19?Hii ni video ya dakika moja lakini mpaka sasa imetazamwa na watu zaidi ya 60,000 na kuchangiwa na watu zaidi ya 1,500 ndani ya masaa 24
Kilichovuta hisia yangu ni maoni ya wachangiaji ambao wengi wao ni watu kutoka Marekani na Ulaya kwa sababu ni Youtube channel inayohusu Europe and USA affairs.
Kama bando lako la intaneti halitoshi huhitaji kuangalia video, fungua maoni ya wachangiaji usome na hii itakuonyesha mtazamo wa “wazungu” kuhusu Tanzania kwenye suala la UVIKO-19.
''Wazungu'' wanashangaa sana kinachoendelea nchini!
Mungu Ibariki Tanzania!
VIDEO
Mshenz mkubwa mbwa Koko wewe, mmelaaniwa na kizazi chote cha CCM mbuzi pori nyie