Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Tusaidie kuyapata hayo maoni mkuu tubandikie hapafungua maoni ya wachangiaji usome na hii itakuonyesha mtazamo wa “wazungu” kuhusu Tanzania kwenye suala la UVIKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusaidie kuyapata hayo maoni mkuu tubandikie hapafungua maoni ya wachangiaji usome na hii itakuonyesha mtazamo wa “wazungu” kuhusu Tanzania kwenye suala la UVIKO
Magufuli bora alivyopumzishwa, kile kitendo chake cha ovyo cha kulijaza bunge zima wabunge aina ya Gwajima ni cha ovyo kuwahi kutokea duniani.Kuna vid moja inatembea tembea huko mitandaoni ninahofia kuiweka hapa, inawataja viongozi watano wa nchi za kiafrica waliouawa sababu ya kuikataa chanjo akiwemo mzee wetu
Alihujumiwa na nani huyo kilaza shetani mwendakuzimu!??Comments za watu hizi zinatupa nguvu sana kwa sisi tusiotaka kuchanja. Pumzika kwa amani [emoji24] Rais MagufuliJP. Ulihujumiwa baba. Pumzika kwa amani [emoji24] we miss you dad
Yule anayeandika "ukutana" badala ya "hukutana" atakuwa ni zaidi ya kichaa.Jf ni sehemu ambayo hata vichaaa na wapuuzi ukutana so sijui upo kundi gani kati ya haya mawili
Aliuliwa na nani?Comments nyingi zinasema magufuli aliuliwa
Mnaangamia kwa kukosa maarifa.Huo ndo ukweli...
Hii nchi ina vibaraka kila kona. Jeshini, TISS na kila mahali.
Vibaraka wa wazungu wamejazana humo.
Rais anatakiwa afe kama nani!!?? Malaika!!??Imagine wengi tulishangaa Rais anakufaje kama raia wa kawaida?????bado kinatuuma kwa kweli na hatuchanji ng'o
Mbona ame-press na inaonekana kabisa. Ulitakaje, akandamizie kwa mguu?!Nesi hajasukuma dawa.
Wasiwasi ni akili pia. Na hatuwezi fanana mitazamoWatanzania mnaamini sana katika conspiracy za kijinga jinga
Rais aliuwawa, huo ndo ukweliiiii...Mnaangamia kwa kukosa maarifa.
Kwa hiyo wote waliofariki katika wimbi la pili waliuwawa?Rais aliuwawa, huo ndo ukweliiiii...
Kilicho muondoa Magufuli ni hihii chanjo si kingine.Comments za watu hizi zinatupa nguvu sana kwa sisi tusiotaka kuchanja. Pumzika kwa amani [emoji24] Rais MagufuliJP. Ulihujumiwa baba. Pumzika kwa amani [emoji24] we miss you dad