#COVID19 “Wazungu” wanavyoiona Tanzania baada ya kukubali chanjo za Corona

Nilichojifunza kwenye hii post ni kamba,tusioamini Magufuli aliuwawa ni sisi Watanzania ila nchi nyingine zinafahamu Magu aliuliwa hasa baada ya kuwabana wazungu na chanjo yao.
 
Bilashka hta mama hajachoma yenyewe
 
Mkuu nitumie iyo link ya video PM tahadhari
Kuna vid moja inatembea tembea huko mitandaoni ninahofia kuiweka hapa, inawataja viongozi watano wa nchi za kiafrica waliouawa sababu ya kuikataa chanjo akiwemo mzee wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…