Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,178
- 3,865
Watetea chanjo wako vizuri kimatusiWewe mtoto wa mwanamke msimbe na mpumbavu sana, kwani wazungu hawachanjwi Chanjo ya Covid-19?
Mshenz mkubwa mbwa Koko wewe, mmelaaniwa na kizazi chote cha CCM mbuzi pori nyie
Hapo sasavipi kijazi nae aliuwawa?
the man died kutokana na ujinga wake
Siyo wale binti zake kwelihuyu nesi anashikaje syringe kishamba vile mbona haja press dawa na kidole gumba
hatakiwi kufa kama wewe raia wa kawaida mbona nimeeleza hapo hujaelewa nn?Rais anatakiwa afe kama nani!!?? Malaika!!??
Bilashka hta mama hajachoma yenyeweNinachoona Tanzania inakataa chanjo kitaalamu sana kwa tahadhari
1. Mzigo umekubaliwa kuingia nchini
2. Kupata chanjo ni hiari (ni wewe na akili yako)
3. Kuna mtu (Gwajima) mwenye watu yupo mstari wa mbele kuipinga chanjo (ku manipulate akili za watanzania ili na wao wawaze na kufikiri mbali kuhusu chanjo)
Yule sidhani kama anaongea akiwa hana ufahamu, na wakubwa zake wasimkataze
Kuna vid moja inatembea tembea huko mitandaoni ninahofia kuiweka hapa, inawataja viongozi watano wa nchi za kiafrica waliouawa sababu ya kuikataa chanjo akiwemo mzee wetu
Acheni ujinga,wanaokubali naomba hoja zenu tuone
Hivi mbona mnateseka?Chanjo Ni hiari,hutak unaacha!
Kila mtu na imani yake!Anakusikia?? Pole sana