Huwa wanapaka Sun block/sun shed ili kulinda ngozi yao na mionzi ya juaKama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
Ondoa neno germ..sentesi itakuwa okNo kweli hua na harufu moja wakiwa Africa ni sawa ya kukinga ngozi yao na mionzi yajua germs
Hapo ukute maharage yaliyolala halafu kara na kiporo cha wali na Mayai na Juisi Ya embe, Lazima mtafutane tena isiwe kaachia la sauti no huo haunuki sana uwe silence daaah shidaaaaahnasikia mzungu hata akijamba harufu yake sio kali sijui nikweli ila aachie black sasa lazima ushike tumbo
hahahahaaaa nihatare sana mkuu hyo kituHapo ukute maharage yaliyolala halafu kara na kiporo cha wali na Mayai na Juisi Ya embe, Lazima mtafutane tena isiwe kaachia la sauti no huo haunuki sana uwe silence daaah shidaaaaah
Amen RA. ..ina harufu kama chuma ..hawa watu hawa ogi hata mpaka waende swimming. .totally disgusting. .eeuuw
AssumptionWengi ni wavivu kuoga,kuna mafuta huwa wanapaka!
Hii ni hata wadada wa kibongo wanaotumia mkorogo...wana harufu flani mbayaaa
Mtu kwao. ..mcheza kwao hutunzwa. .endelea tu..Lies! Waafrika wanaoga?
Cone on now acheni stories za vijiweni
Wahindi afadhali aisee kuliko wazungu. .Sijawahi kusikia kama harufu zao n nzuri aisee
Na wahindi nao wana harufu mbaya mnoooo Mungu anisamehe
Hahaha ndoivo mkuu,hahahahahhahaah weeeeweeee... !!!!
Mkuu mm nafanya nao kazi aisee acha kabisaaaa, akiingia unatamani uzibe puaWahindi afadhali aisee kuliko wazungu. .
HahahahaMkuu mm nafanya nao kazi aisee acha kabisaaaa, akiingia unatamani uzibe pua
[emoji4] [emoji4] [emoji4]Mkuu mm nafanya nao kazi aisee acha kabisaaaa, akiingia unatamani uzibe pua