kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
halla jf...
kama kawaida jumapili nipo nyumbani nimechill kuisindikiza weekend, kwa kawaida mara nyingi mm sio mdau wa clouds radio/tv, kwa hiyo top 20 huwa sisikilizi sana, badala yake huwa nasikiliza efm kuna kipindi kinachopiga bongo fleva za kitambo kinachoendeshwa na rdj kwachee, kipindi hicho kinaitwa muda wetu... any way hii sio ishu.
leo nikiwa nimetulia nikakumbuka kuna yanayosema chini chini kwamba wcb na clouds media kwa sasa hawapikiki chungu kimoja na nyimbo zao zimepigwa pini pale mawingu. nika-tune clouds fm kusikiliza top twenty kilichoendeshwa na mwanadada mamy baby. what a surprise sijaisikia nyimbo yoyote kutoka chamani wcb. nimeshangaa sana, kwa nn ? hawa jamaa wakiongozwa na boss wao naseeb wanatoa sana hits mara kwa mara kiasi kwamba ni ngumu kushindwa kuingia kwenye chat za media kali kama clouds.....
kuna harufu kubwa ya moshi inayofukuta chini, kati ya wcb na clouds, yamesemwa mengi sana, lakini mwisho wa siku muziki bila media amna kitu, japo kuna nguvu kubwa sana ya mitandao.
boss joe anatakiwa awe smart sana na hii issue, daimond kwa mara nyingine management yake inamuangusha, kina salam, tale na fela uswahili mwingi, wanampoteza jamaa bila kujijua. daimond anajisahau anavimba kichwa.
bashite ana uhusika mkubwa sana kwenye hili, ndiye mlezi wa wcb, ugomvi wake na boss ruge usimsababishe awaingize hawa jamaa, hata ile project ya tv na radio nahisi kuna mkono wa mkolomije, lengo ni kuwakomoa clouds na kupambana nao, kuna msemo unaosema aliyetangulia katangulia tu.
God bless Tanzania yetu ya maziwa na asali.
kama kawaida jumapili nipo nyumbani nimechill kuisindikiza weekend, kwa kawaida mara nyingi mm sio mdau wa clouds radio/tv, kwa hiyo top 20 huwa sisikilizi sana, badala yake huwa nasikiliza efm kuna kipindi kinachopiga bongo fleva za kitambo kinachoendeshwa na rdj kwachee, kipindi hicho kinaitwa muda wetu... any way hii sio ishu.
leo nikiwa nimetulia nikakumbuka kuna yanayosema chini chini kwamba wcb na clouds media kwa sasa hawapikiki chungu kimoja na nyimbo zao zimepigwa pini pale mawingu. nika-tune clouds fm kusikiliza top twenty kilichoendeshwa na mwanadada mamy baby. what a surprise sijaisikia nyimbo yoyote kutoka chamani wcb. nimeshangaa sana, kwa nn ? hawa jamaa wakiongozwa na boss wao naseeb wanatoa sana hits mara kwa mara kiasi kwamba ni ngumu kushindwa kuingia kwenye chat za media kali kama clouds.....
kuna harufu kubwa ya moshi inayofukuta chini, kati ya wcb na clouds, yamesemwa mengi sana, lakini mwisho wa siku muziki bila media amna kitu, japo kuna nguvu kubwa sana ya mitandao.
boss joe anatakiwa awe smart sana na hii issue, daimond kwa mara nyingine management yake inamuangusha, kina salam, tale na fela uswahili mwingi, wanampoteza jamaa bila kujijua. daimond anajisahau anavimba kichwa.
bashite ana uhusika mkubwa sana kwenye hili, ndiye mlezi wa wcb, ugomvi wake na boss ruge usimsababishe awaingize hawa jamaa, hata ile project ya tv na radio nahisi kuna mkono wa mkolomije, lengo ni kuwakomoa clouds na kupambana nao, kuna msemo unaosema aliyetangulia katangulia tu.
God bless Tanzania yetu ya maziwa na asali.