Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Brand kubwa? Kuliko wasafi?masauti hawezi kukubali yeye ni brand kubwa
Susumila na masauti si wapo lebel moja?Ndugu wajumbe mnaonaje wakimleta Susumila.
You take it wrong tulia bwana mdogo hakuna ushabiki hapaKwan mkuu, hatuwezi mchukua huyo masauti na na tukaendelea kuwa na lava lava pia?? Maana umemkomalia mno lava kuondoka kulko hata huyo masauti kuja
Talents mbili zinazofanana uimbaji na style haiwezekani kuwa woteKwan mkuu, hatuwezi mchukua huyo masauti na na tukaendelea kuwa na lava lava pia?? Maana umemkomalia mno lava kuondoka kulko hata huyo masauti kuja
Hahaha dahMasauti hawez kukubali kuwa WCB, kwanza sio level zake,
Hivi lavalava anaimbaga kitu gani?Naona kabisa lavalava kashindwa kufikia malengo ya waliomchukua .
Hata mboso aliemkuta tiyari kamuacha japo naona majuzi hapa jamaa kaamka, sexy mama ni ngoma Kali,
Sisemi ni msanii mbaya hapana ,ila ni failed talent.
Sasa kama wcb mnataka kupata faida kubwa zaidi ya lavalava na kurudisha faida.
Nawapa hint mchukueni yule dogo wa Kenya MASAUTi,
Huyu dogo ni mmoja ya wasanii wanaokuja vizuri huko Kenya na east Africa ,ana kama mwaka mmoja tu kwa game ila vibao vikali ,melody yake ni ya kibongo kabisa.
Kama hamtaki acheni endeleeni na huyo lavalava wenu mtajuta sana kupuuza
Huko sasa ulipofika Mimi simo mkuuHivi lavalava anaimbaga kitu gani?
Hata Zuchu anabebwa tu
Hata siogopi mkuu, kuogopa id ya jf ni sawa na kuukimbia upepo.Huko sasa ulipofika Mimi simo mkuu
Hahaha
Ukimgusa zuchu utawakiwa sana
Kwanza umuombe radhi Masauti, sio kwa kumshusha ivo khaaaaah.Hahaha dah
Level zake ni kubwa sio
Waondoke watuachie Mimi na wewe hiyo Kenya watafute pa kukaa mywanguAlafu wakenya watabaki na Nini
Hapana mzee Nina mke sina demu Nina mkeIla msela umen'gan'gania Lava Lava alikugongea demu Nini?