wallah mtoto na sifa yule kamzidi ata Dully mwenye cheo chake,kha!wale mbona wamwyagalambuaKiba mlimuonea sabb mpole sasa mmekutana na misifa ndio nyumbani kondeboy ko mtulie ndio muda wake huu bakini na hao hao waimba kaswida
wanahasira na mwanasingenge lakin mbona yeye yupo pouwa kabisa nao so wafanye mziki ndio uongeeDiehard fans wa Diamond sijui ni kwanini wamechukizwa sana na Kondeboy kutoka WCB..wamebaki kusubiria aanze kupauka kama Rich Mavoko..kitu ambacho hakiwezi kutokea
UNO audio tu tayari 1m+ stream on youtube..
Tuache uchawi..Diamond afanye kazi aendelee kuwa juu,na Harmonize naye aendelee kuwa juu na hata akimpita Diamond iwe ni ishu ya kawaida
Mtasubiri sana kwa mmakonde yule nguvu iliyonyuma yake sio ya richmavoko ile hata nyie mnaweza potezwaMuda utaongea tu ,uzuri jamii forum thread huwaga hazifutwi,ila mnajutengenya na kucheka wenyewe,#levels baby naona mmeamua kwenda Mtwara.
Poa poaKB namaanisha Konde Boy...sio King Kiba
,#levels baby naona mmeamua kwenda Mtwara.Mtasubiri sana kwa mmakonde yule nguvu iliyonyuma yake sio ya richmavoko ile hata nyie mnaweza potezwa
konde bado hajafika level ya kaka yake hapo mtakuja kumuua mtoto wa watu kumtia kichwa sema kaka yake kachanganyikiwa mana konde ndie alitakiwa amuachie mikoba sema dogo kaondoka wamebaki waimba kaswida na uhindi paleMimi NASUBIRIA siku Domo na kondeboy I wafanye show the same city hapo ubish utaisha mana hapo atakayeuza ticket ndo yupo ju..mimi nafurah kuona vijana wanapiga PESA
Tupo mtwara na Shoro mwamba geu tumemuongeza kwenye showTigo Fiesta imeishia wapi wazee levoz beib
Mond na ukubwa wake bado anatumia nguvu kuipush ngoja....unataka konde aende kimyakimya kawa kiba yulekupata views 1m si tatzo, angalia nguvu kubwa aloitumia
Tulieni kitoto kiwanyweshe dawa mana mnapanic sana dogo kawaambia hatak ugomvi na nyingi bado mnamtafuta sasa jiungeni wote pamoja na waimba kaswida wenu dogo awaoneshe show.Harmonize akimpita kwanza rayvanny ndo tutaamini kama anaweza kumpita diamond, note,hakuna msanii na hatotokea wa kumpita diamond.harmonize hata 1/3 tu ya diamond ajafika sembuse kumtetemesha?au kwa kuwa unajiita jina la kauli mbiu ya tigo fiesta levels baby(shoga),afu pia usimfananishe diamond (mbingu) na huyo ruge wako(ardhi) sawa.
Ahaaaaaaaaaaah acha kula bangi mbichi wewe kilaza wa mawingu fc,yaaani harmonizeQUOTE]Tulionyuma tunajua kaka yako alivyomsumbua jux watoe ile nyimbo baada ya kuona mameneja wake wamemkatalika kutoa ngoma kabatini kwa kuhofia Uno
Mwakyusa kwa show zake za kuku akampite hamonenga aisee mna matusiDiamond is king,rayvanny akipitwa na harmonize ndo taamini anaweza kumfunika diamond