Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Ahaaaaaaaaaaah wakati hajafikia hata kwa rayvanny,ndo ampoteze king DIAMOND kweli unaumwa utapia mloMimi namuonya kaka asimuwaze sana dogo sio kumuombea adondoke ili dogo apande hapana afanye kazi na dogo afanye aache kumuwazia dogo mabaya mana ndio atapotea yeye
Acha uganja man kwa mabaharia dogo okJua nawafahamu vizuri....hukumsikia kuwa nimesalitiwa na Jeshi pale iringa au mnajitoa akili
Kuvimba wakati kimenenepeana mpaka kinaumwa preshaKitoto kimerithi hadi kuvimba kwa kaka yake ndio mana kaka anawaza mtoto kuondoka na swaga zote
Yule bado dogo kwa rayvanny, mpaka afike level za rayvanny nakuchukua BET hapo ndo ntamuelewasio kwa mmakonde yule
Niambie ww Rayvan kamzidi nn konde boy?Unaumwa dengue, sasa harmonize anampita rayvanny kwa kipi labda.......?
Mond na yy afanye sasa show za bure kama anaweza. [emoji23][emoji23][emoji23]Pumbavu katumia nguvu na kupoteza hela kwa show za bure maana huu ni upepo wa kisulisuli
[emoji23][emoji23][emoji23] Usilete michezo ya darasa la piliWaambie kabisa wewe ni Tanasha. Unamuelewa Diamond in and out. Pia inaielewa WCB in and out
Waambie kabisa wewe ni Tanasha. Unamuelewa Diamond in and out. Pia inaielewa WCB in and out
Diehard fans wa Diamond sijui ni kwanini wamechukizwa sana na Kondeboy kutoka WCB..wamebaki kusubiria aanze kupauka kama Rich Mavoko..kitu ambacho hakiwezi kutokea
UNO audio tu tayari 1m+ stream on youtube..
Tuache uchawi..Diamond afanye kazi aendelee kuwa juu,na Harmonize naye aendelee kuwa juu na hata akimpita Diamond iwe ni ishu ya kawaida
Nyimbo alitoa rayvany ni nzuri zaidi ya hiyo uno basi tu harmonize bado watu wanaongalia hiyo nyimbo walikuwa wanataka wajue kafanya nini ila kwang mimi uno ni nyimbo mbayaHamonenga nguvu aliyonayo tunaijua ndio maana unaona ma boss wake wa zamani wamepagawa mpaka ikatokea kaka mkubwa pindi kondeboy anatoa Uno alitaka nae atoe ngumu wakamshauri utapotea temana nae mpaka kampigia dogo Jux kuwa watoe ile yao mana lile la Jux kwaju kweli.
Haraf kaka kabaki na wakina Mwakyusa Wale wote hamna ubunifu na kujiongeza kama konde
Umeongea pumba, hakutatokea Mtu Mpuuzi kuliko wewe karne zote mpaka kurudi kwa masiha.Harmonize akimpita kwanza rayvanny ndo tutaamini kama anaweza kumpita diamond, note,hakuna msanii na hatotokea wa kumpita diamond.harmonize hata 1/3 tu ya diamond ajafika sembuse kumtetemesha?au kwa kuwa unajiita jina la kauli mbiu ya tigo fiesta levels baby(shoga),afu pia usimfananishe diamond (mbingu) na huyo ruge wako(ardhi) sawa.
unaijua million 1 kwa audio tu muulize hata huyo rayvanny kama amewah pata hata ndani ya miez miwilikwa nguvu aloitumia kuzunguka east africa nikadhan uno itafikisha hata views zaid ya 5m bt kumbe alikua akitafta huruma ya wananzengo tu,
mjiulize kama akitoa ngoma bila kufanya hivo kama rayvany hizo views 1m atafikisha???
anahtajika kupambana zaidi na si kuwaza kumzidi mondi
Wivu tuNyimbo alitoa rayvany ni nzuri zaidi ya hiyo uno basi tu harmonize bado watu wanaongalia hiyo nyimbo walikuwa wanataka wajue kafanya nini ila kwang mimi uno ni nyimbo mbaya
Mwambie ile ni Audio sio video ambazo zina boostiwa tuAcha wivu wakijinga ww katumia nguvu gani wakati alivyotoka WCB media zote zilimtaka na zinatamani afanye interview nao maana ukiwa WCB huwezi fanya interview media zingine kwakuwa wanatofauti na WCB
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] atawaua mmakonde yuleMziki gani wa kijinga,kafie mbele hapa ni diamond tu hizo garasa peleka huko
muwe na adabu sa zingine hizo kuku mkafananishe kondeboyToa ujinga hapa harmonize anamzidi kipi rayvanny...??? Tuanzie hapo maybe miaka ya kuanza kuimba tu
Mjinga naishi kwangu goba wazazi kunduchi.Kalale mjinga mmoja tu wewe ebooooooh
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ma.mae wallah wanamzengo hamna mchezoWaambie kabisa wewe ni Tanasha. Unamuelewa Diamond in and out. Pia inaielewa WCB in and out
Hapa naona kuna Ramli inapigwaIla nawaonya mkiendelea kumuwaza bwana mdogo mtapotea maana nguvu aliyonayo nyuma yake sisi wengine tunaijua mtachemka vibaya mno.