WCB mshaurini boss wenu, akiendelea kumuwaza Kondeboy atapotea

WCB mshaurini boss wenu, akiendelea kumuwaza Kondeboy atapotea

Mimi namuonya kaka asimuwaze sana dogo sio kumuombea adondoke ili dogo apande hapana afanye kazi na dogo afanye aache kumuwazia dogo mabaya mana ndio atapotea yeye
Ahaaaaaaaaaaah wakati hajafikia hata kwa rayvanny,ndo ampoteze king DIAMOND kweli unaumwa utapia mlo
 
Diehard fans wa Diamond sijui ni kwanini wamechukizwa sana na Kondeboy kutoka WCB..wamebaki kusubiria aanze kupauka kama Rich Mavoko..kitu ambacho hakiwezi kutokea

UNO audio tu tayari 1m+ stream on youtube..

Tuache uchawi..Diamond afanye kazi aendelee kuwa juu,na Harmonize naye aendelee kuwa juu na hata akimpita Diamond iwe ni ishu ya kawaida

Hamonenga nguvu aliyonayo tunaijua ndio maana unaona ma boss wake wa zamani wamepagawa mpaka ikatokea kaka mkubwa pindi kondeboy anatoa Uno alitaka nae atoe ngumu wakamshauri utapotea temana nae mpaka kampigia dogo Jux kuwa watoe ile yao mana lile la Jux kwaju kweli.

Haraf kaka kabaki na wakina Mwakyusa Wale wote hamna ubunifu na kujiongeza kama konde
Nyimbo alitoa rayvany ni nzuri zaidi ya hiyo uno basi tu harmonize bado watu wanaongalia hiyo nyimbo walikuwa wanataka wajue kafanya nini ila kwang mimi uno ni nyimbo mbaya
 
kwa nguvu aloitumia kuzunguka east africa nikadhan uno itafikisha hata views zaid ya 5m bt kumbe alikua akitafta huruma ya wananzengo tu,
mjiulize kama akitoa ngoma bila kufanya hivo kama rayvany hizo views 1m atafikisha???
anahtajika kupambana zaidi na si kuwaza kumzidi mondi
 
Harmonize akimpita kwanza rayvanny ndo tutaamini kama anaweza kumpita diamond, note,hakuna msanii na hatotokea wa kumpita diamond.harmonize hata 1/3 tu ya diamond ajafika sembuse kumtetemesha?au kwa kuwa unajiita jina la kauli mbiu ya tigo fiesta levels baby(shoga),afu pia usimfananishe diamond (mbingu) na huyo ruge wako(ardhi) sawa.
Umeongea pumba, hakutatokea Mtu Mpuuzi kuliko wewe karne zote mpaka kurudi kwa masiha.
 
kwa nguvu aloitumia kuzunguka east africa nikadhan uno itafikisha hata views zaid ya 5m bt kumbe alikua akitafta huruma ya wananzengo tu,
mjiulize kama akitoa ngoma bila kufanya hivo kama rayvany hizo views 1m atafikisha???
anahtajika kupambana zaidi na si kuwaza kumzidi mondi
unaijua million 1 kwa audio tu muulize hata huyo rayvanny kama amewah pata hata ndani ya miez miwili
 
Acha wivu wakijinga ww katumia nguvu gani wakati alivyotoka WCB media zote zilimtaka na zinatamani afanye interview nao maana ukiwa WCB huwezi fanya interview media zingine kwakuwa wanatofauti na WCB
Mwambie ile ni Audio sio video ambazo zina boostiwa tu
 
Diamond ni genius nyie yupo kibiashara na anajua mbinu za ela hayo aloyafanya Jana ni moja ya njia mpka Leo hamjamuelewa tu yalofanywa Jana ni kuizima ngoma ya uno midomoni badala yake mdiscuss hili tunalofanya sasa
 
Back
Top Bottom