We nae sijui unatokea uko kusini!! mbona uko nyuma sana mzee kama msanii yuko vizuri sidhan kama atababishwa na iyo 15 ukizingatia anaingia kwenye label hajui lolote zaidi ya kuwa na sauti ya kuimba apo wakuandae ukae sawa itachukua mda sana then uanze kutoa ngoma zikubaliwe nayo itachukua mda sana mpaka aje kusimama vizuri lazima ichukue mda yo miaka 15 umeona ni mkataba mkuubwa syo? basi asinge saini tuone kama ungemjuaWapi nimesema Diamond hana maana?
Mikataba mikataba mikataba
Mkuu kwani wakata wa kusainishana Alikua hajui kusoma au? mbona kama unateseka sana?Washajaa tayari, wanatokwa na povu sio za nchi hii.
Wewe pamoja na uyo anae saini mkataba kwa kukubana wote akili zenu zpo kwenye makalio...utasaini vpi mkataba kama unajua unakubana?Watajua wapi?
Mikataba ya wenzetu haiwabani kuwa lebo zao ila hapa bongo unapigwa ban hata kufanya collabo na msanii fulani na fulani.
Safi umenena vizuri mkuuMsanii kumbrand hadi arudishe pesa ambayo umeinvest si rahisi kibongo bongo ambapo shows ndio zinamatter kwenye kipato cha labels. Angalia the industry kwa Rosalee, mkataba mfupi umewacost na sidhani hata kama ulirudisha pesa zao
Pia Huyo Harmo ni average guy kimuziki na nguvu aliyoitumia diamond kumpromote hadi akubalike inastahili kupata marejesho ya maana. Mimi naona ni sawa tu maana hata Harmo aliridhia
By the way mimi bado sijaamini hili sakata zima la Harmo kujitoa WCB maana naona hata WCB wanatumia nguvu kubwa kuwaaminisha watu which feels like a cooked up story. Sijui lakini
Kwaio unampangia mtu namna ya kuandaa mkataba?Hapo ndipo lilipo tatizo, hutakiwi kuinvest kwa mtu bali kazi zake. Mkataba unatakiwa uwe wa kusapoti kazi zake na si kumsapoti yeye sababu unapoinvest kwa mtu unatumia gharama kubwa unnecessary.
Wewe mziki huujui Justin Bieber wakati anatoka kulikuwa na mtu ana deal na image na style ya nywele zake,sasa jiulize walikuwa wana promote kazi yake au mtu.Wapi nimesema wcb walikuwa hawawekezi kwa harmo?
My point ni kwamba wanatumia nguvu kubwa kumpromote mtu wakat wanachotakiwa ni kazi za msanii ndio zijipromote.
Unajielewa kweli mzee?EMI ilimsaini Kanye 2003 kabla hajatoa album yake ya The College Dropout. Mkataba wake ulikuwa wa miaka 7 saba tuu na uliisha 2010.
Tatizo lako unatetea mikataba ya muda mrefu wakati huko mambele wanaikimbia na hawaitaki kwa sasa.
Kanye West huyohuyo ana kesi na Roc-a-Fella Records, UMG Recordings, Def Jam, and Bravado International Group.
Ndio maana nasema na bongo pia mikataba ni ya kinyonyaji ndio maana wasanii kutwa kujitoa kwenye lebo zao.
Unajielewa kweli mzee?@Khaligraph Jordan pita hapa upate kuelewa mikataba ya wenzetu inavyokuwa sio unabisha tuu with no evidence.
Unajielewa kweli mzee?Kuna mahala nilicomment kuhusu hizi contract za muda mrefu sana. Katika contract za wanamuziki wa kimarekani nilizosoma online huwa zinadumu kuanzia miezi tisa hadi miaka mitatu kwa shuruti kuwa katika kipindi hicho awe ametoa album kadhaa.Contract hizo ni za kusambaza album hizo za wanamuziki, lakini haiwaingilii kwenye maonyesho yao ya majukwaani. Wanamuziki huridhika kuendelea kurenew contract hizo hata kwa miaka kumi au zaidi kwa kuridhishwa na usimamazi wa usambazaji wa albuma zao. Lakini Contract za Bongo (niliwahi kusoma ya Mr Nice kwani iliwekwa hadharani) inaonekana kuwa huwa zinawabana sana wanamuziki hata kwenye tour wanazopata au hata matangazo ya biashara wanayoingia na makampuni mbalimbali kwa muda mrefu sana tena kwa asilimia kubwa sana.
Kwa sasa hatujui Contract ya kijana huyu, ila ule urefu wake ni swali la kujiuliza.
Katika kesi ya Kanye West dhidi ya EMI, utaona kuwa mkataba wa kwanza ulianza mwaka 2003 na ulikuwa na terma ya miaka mitatu, lakini walifanya extenstions kadhaa baada ya hapo. Malalamiko ya West ni kuwa mwaka ulikuwa unaweza kuzidi miezi 12 kwa vile walikuwa wanahesabu kuwa mwaka mmoja ni pala atakapokamilisha kutoa idadi ya album walizokubaliana. kwa hiyo akichelewa kutoa Albuma basi mwaka unaweza kuwa zaidi ya miezi kumi na mbili
View attachment 1190103
Povu la nini Mzee; najua Tanzania tuna vipunga wengi sana wa aina yako wasiosoma mambo bali hudandia tu. Hata hivyo angalau ungesoma hilo document nilioambatanisha hapo ambalo limetoka kwenye kumbukumbu za Mahakama kuu ya California. Usipingane na mimi bali lisome tu document hilo; ni hili hapaUnajielewa kweli mzee?
.
Def jam recording label ni kampuni tanzu ya EMI virgin recording na inafanya kazi worldwide, sasa unaposema ina kesi na Kanye west una maanisha nini?
.
Ro- A -fella-records wanafanya kazi chini ya def jam ndio maana records kibao za Roc fella ni lazima def jam watahusika.
Mfano album ya tano ya Kanye west "My beautiful dark twisted Fantasy" iliandaliwa na records label zote mbili na msambazaji anakuwa mmoja tu nae ni def jam.
.
...
.
Muache utani hata Michael jacko akifufuka leo hii ataendelea kuwa under EMI
Umeongea vizuri mkuu,Ukiambiwa Harmonize alikuwa amesainiwa kwa miaka 15 masikio yatapokea hiyo sauti lakini akili itakataa kuamini au kuelewa hicho ilichopokea toka masikioni. Yani mkataba wa kazi wenye muda wa MUONGO NA NUSU? Tungekuwa ulaya tungeuita ni "CONTRACT FROM HELL".
Tuseme alisainiwa ana miaka 20, ina maana mpaka anafikisha miaka 35 lazima awe chini yao. Hapo katikati akiwa na miaka 22 mpaka 30 ndio muda wa kupiga kazi kwa nguvu na kutengeneza future yake. Sote tunajua lifespan ya soko la muziki huwa ni ndogo, huwezi kuwika zaidi ya miaka 10. Usipotumia muda vizuri ndani ya miaka hiyo basi ishakula kwako.
Kibaya zaidi boss wao pia anafanya kazi ileile ya kuimba, na hawezi kukubali hao alowaajiri wampite. Kwa maana hiyo msanii hawezi fikia ile maximum peak yake kwa sababu yuko limited na masharti ya kutompita boss wake.
Mikataba ya namna hii ni mibovu kwa sababu inamgeuza msanii husika kuwa mwajiriwa wa lebo husika. Yani mkataba unakuwa haumruhusu kujiendeleza yeye kama yeye bali kuiendeleza lebo.
Hii inafanya kama mko wengi kwenye lebo wote mbweteke na kuondoa ushindani na ubunifu kwa sababu hata ufanye kazi kwa bidii vipi mafanikio yote inabeba lebo wewe unabaki ni ile % mloandikiana tuu.
Pia hii inaleta mgongano wa kimaslahi kwenye lebo kwa sababu anayefanikiwa ataona kama wenzie wanamnyonya jasho lake.
Ndani ya WCB bosi mmojawapo ambaye ni Diamond Platnumz pia ni msanii. Kwa hiyo kusainiwa pale ni kama mchezaji kucheza na kocha wake uwanjani na wote wanataka kila mmoja afunge. Yani ni sawa na wewe uajiriwe kwenye kampuni halafu baadae ufungue kampuni kama ile uloajiriwa. Lazima mchukiane na boss kwani hatopenda kupitwa hasa akigundua unampiku mbinu za kibiashara.
Ndio maana vijana wa WCB wamepigwa pini hakuna kumpita boss wao DP.
Katika dunia ya sasa ni ujinga wa hali ya juu kusaini wasanii kwa kufuata mfumo wa miaka. Wenzetu waliondelea wanamanage kazi za wasanii hawamanage wasanii. Yani the more unavyopiga kazi kubwa na kutoa kazi kali kali ndio unajikuza wewe sio lebo yako.
Sasa hapa bongo eti unawasaini wasanii na kuwalipa mshahara kwa mwezi, unawatafutia na nyumba za kupanga na ki-premio cha 10M ili kuwazuga.
Ndio maana kazi za WCB zikitoka wanaipigia promo weeeeh, mpaka kwa kutumia kiki za ajabu ajabu zinazokinzana na maadili yetu ili tuu kuipa nguvu kazi yao. Lakini unakuta hiyo kazi haivuki hata mpaka wa Namanga pale.
Ndio maana tumeshuhudia hata Diamond mwenyewe akiporomoka kwenye soko la muziki Afrika. Hapati nominations tena kwenye tuzo mbalimbali sababu hakuna kipya alichonacho kulinganisha na mwanzo alivyokuwa anafanya kazi kwa kujituma.
Yani mikataba ya lebo za muziki tanzania haina tofauti na ule mkataba wa bandari ya bagamoyo. Kwa hali hii sijui sekta gani itapiga hatua kwa haraka Tanzania kama urasimu wa mikataba umekamata sekta zote[emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 1190044
Kwel kabisaWanaomtetea mmakonde wengi waseng3 waseng3
ukini quote sikujibu
Yani Black avishike vyombo vya ulinzi vya Marekani?! Hili rungu nimelikwepa.Liko wazi hilo mkale, ndio alihusika na kifo chake kwa 100% sema ndio hivyo jamaa alikuwa amevishika vyombo vya ulinzi kwelikweli pia ndio alihusika katika kifo cha BIG...
Wewe mziki huujui Justin Bieber wakati anatoka kulikuwa na mtu ana deal na image na style ya nywele zake,sasa jiulize walikuwa wana promote kazi yake au mtu.
Kwenye mziki kumpromote mtu na kazi yake vinaenda parallel na kama hujui wenzetu ulaya wanatengeneza mpaka KIKI,wakati Nick Minaj anatoka,YCMB walivumishwa anatoka na Drake ili wampromote Nick kumbe ilikuwa uongo.
Usifanye masiala kumtengeneza na kumpromote msanii mpya ni kazi na gharama sana,wenzetu ulaya wana ichukulia kama project.Hata yale mahusiano ya Wolper na Harmonize yalikuwa KIKI ,lkn hawakuwa na mahusiano yoyote.
Mimi kipunga wewe ndezi kubi.Povu la nini Mzee; najua Tanzania tuna vipunga wengi sana wa aina yako wasiosoma mambo bali hudandia tu. Hata hivyo angalau ungesoma hilo document nilioambatanisha hapo ambalo limetoka kwenye kumbukumbu za Mahakama kuu ya California. Usipingane na mimi bali lisome tu document hilo; ni hili hapa
Hisia wakati ndio ukweli mwenyewe,kijana naijua Tasnia ya Bongo Movie kuliko unavyozani,kwani nipo nao karibu sana na najua kila kinachoendelea sizungumzi kumfurahisha mtu Music is Bussiness ambayo inahitaji mbinu ili kuikuza biashara yako,acha KUKURUPUKA KWANI HATUJUANI.Punguza kuongea vitu usivyovijua, usiruhusu hisia na ushabiki vikuamulie nini cha kuandika acha akili ikifikirie kile unachotaka kukiandika kabla ya kuandika.