WCB na mikataba ya ajabu: Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei

WCB na mikataba ya ajabu: Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei

Mimi kipunga wewe ndezi kubi.
.
Eti wasiosoma mambo bali hudandia unadhani link niliyoitoa huo uamuzi umetolewa na madiwani?
Mahakama ya New york city federal court imeamua Kanye afanye muziki kwa maisha yake yote kwa sababu ya mkataba alioingia na EMI bado ni valid.
.
Kanye West's EMI Contract States He's Not Allowed to Retire

West's EMI publishing contract, currently at the center of a wide-ranging lawsuit, states that West will "remain actively involved in writing, recording and producing Compositions and Major Label Albums, as Your principle occupation." Furthermore, West must "at no time during the Term" initiate a retirement from those occupations or take an extended hiatus in which he's not actively carrying them out.

This wording was revealed thanks to the latest move in the dispute from EMI.
Kwa nini unakimbilia post za magazeti kwenye internet usisome makaratsi ya mahakamni yenyewe? Yanaanza hivi

1566803908521.png

Ni karatsi 50, kwa hiyo ukitaka kutafsiriwa kwa lugha rahisi kutoka lugha za kisheria itakuwa ni vigumu kwa leo.


Halafu kama hujui malalamiko ya Kanye (niliyaandika huko nyuma) ni kuwa mkataba huo unatumia muda unaitwa "contract year" ambayo siyo miezi kumi na mbili bali ni kipindi ambacho Kanye anafikisha kutoa nyimbo kadhaa. Akifikisha idadi hiyo ndani ya miezi 12, basi mwaka inakuwa ni miezi 12, na asipotoa nyimbo zinazotakiwa kwa miaka minne, basi miaka yote minne hiyo inahesabiwa kuwa ni mwaka mmoja. Malamiko yake ni kutaka definition ya mwaka iwe wazi siyo hiyo ya kubadilikabadilika. Soma makaratasi ya kisheria ambayo nimekuwekea siyo hayo maneno ya Yahoo ambako mtu yeyote anaweza kuandika. Kwanza kesi yenyewe hata haijaamuliwa bado iko mahakamani halafu wewe unakurupuka na upupu hapa kwamba ameamuliwa na new York City wakati kesi yenyewe iko California.


Hata hiyo link ulyoweka ya Yahoo nadhani uliokoteza tu bila hata kuisoma kwani haipo. Ni tabu kweli kuelimisha graduates wa shule za kata (no offense).
 
Wewe mziki huujui Justin Bieber wakati anatoka kulikuwa na mtu ana deal na image na style ya nywele zake,sasa jiulize walikuwa wana promote kazi yake au mtu.

Kwenye mziki kumpromote mtu na kazi yake vinaenda parallel na kama hujui wenzetu ulaya wanatengeneza mpaka KIKI,wakati Nick Minaj anatoka,YCMB walivumishwa anatoka na Drake ili wampromote Nick kumbe ilikuwa uongo.

Usifanye masiala kumtengeneza na kumpromote msanii mpya ni kazi na gharama sana,wenzetu ulaya wana ichukulia kama project.Hata yale mahusiano ya Wolper na Harmonize yalikuwa KIKI ,lkn hawakuwa na mahusiano yoyote.
Harmolapa ndio mfano mzuri...wali-mpromote sana na show alipiga nyingi pesa ikaingi...ilikuwa ni ptoject ya muda tu.
 
Kuna watu hapa wanaandika kwa emotions, siyo rational. Ni kazi ngumu sana kwa wanaojadili mambo kwa facts na logic kushiriki mjadala huu ambao ni wa kisheria zaidi ya Celebrities.
 
Leo ndio nimejua kuwa waswahili hawana shukrani.
Leo hii kumpa mtu mkataba mrefu ikawe ni kosa?
Kwa hyo kumbe ni bora angemuacha akawe muokota korosho umakondeni ndio mngemshukuru Diamond na kumuona ni mtu mzuri?
Kwa hili aisee mungu atamlinda Diamond na mtapata aibu kubwa sana.
ANGALIZO:
Wale mnaomshabikia harmonize kwa ulimbukeni wake msije kugeuza gia angani na kumgeuka baadae pale atakapoangukia pua.
Watarudi kusema Diamond mchawi kamroga Harmonize
 
Leo ndio nimejua kuwa waswahili hawana shukrani.
Leo hii kumpa mtu mkataba mrefu ikawe ni kosa?
Kwa hyo kumbe ni bora angemuacha akawe muokota korosho umakondeni ndio mngemshukuru Diamond na kumuona ni mtu mzuri?
Kwa hili aisee mungu atamlinda Diamond na mtapata aibu kubwa sana.
ANGALIZO:
Wale mnaomshabikia harmonize kwa ulimbukeni wake msije kugeuza gia angani na kumgeuka baadae pale atakapoangukia pua.
Hii comment nayo siyo rational kwani hata Diamond naye alihama hivyo hivyo kutoka label moja hadi nyingine, kubadilisha maproducers na mameneja kadhaa kabla hajawa hivyo alivyo leo; ndiyo process yenyewe. Siyo kuwa yeye ndiye atakayewamiliki wasanii wote wajao kwa vile amefikia levo hiyo; kuna watakaopita kwake na kwenda kijisimamai wenyewe na inawezekana wakaja ambao hawakupita kwake labda wakawa zaidi yake. Ndivyo nature ilivyo!
 
Biashara siku zote Hakuna Anayependa Hasara
Mambo ya Mikataba tu ni ishara tosha Ya Ubeparii
Mbona Mond Alivunja Mkataba Wake Aliokua Chini ya Papaa Misifa Na Akalipa Hela Kuuvunja
Ngoja Tuone Konde Nae
 
Hii comment nayo siyo rational kwani hata Diamond naye alihama hivyo hivyo kutoka label moja hadi nyingine, kubadilisha maproducers na mameneja kadhaa kabla hajawa hivyo alivyo leo; ndiyo process yenyewe. Siyo kuwa yeye ndiye atakayewamiliki wasanii wote wajao kwa vile amefikia levo hiyo; kuna watakaopita kwake na kwenda kijisimamai wenyewe na inawezekana wakaja ambao hawakupita kwake labda wakawa zaidi yake. Ndivyo nature ilivyo!
Kuhama kundi sio mbaya hata sehem za kazi zingine pia huwa inaruhusiwa kuacha na kwenda sehem nyingine ila ubaya unakuja pale mnapoanza kumponda diamond na kumuona Hana maana,mara kumuita mnyonyaji wakati aliwasaidia.
 
Ukiambiwa Harmonize alikuwa amesainiwa kwa miaka 15 masikio yatapokea hiyo sauti lakini akili itakataa kuamini au kuelewa hicho ilichopokea toka masikioni. Yani mkataba wa kazi wenye muda wa MUONGO NA NUSU? Tungekuwa ulaya tungeuita ni "CONTRACT FROM HELL".

Tuseme alisainiwa ana miaka 20, ina maana mpaka anafikisha miaka 35 lazima awe chini yao. Hapo katikati akiwa na miaka 22 mpaka 30 ndio muda wa kupiga kazi kwa nguvu na kutengeneza future yake. Sote tunajua lifespan ya soko la muziki huwa ni ndogo, huwezi kuwika zaidi ya miaka 10. Usipotumia muda vizuri ndani ya miaka hiyo basi ishakula kwako.

Kibaya zaidi boss wao pia anafanya kazi ileile ya kuimba, na hawezi kukubali hao alowaajiri wampite. Kwa maana hiyo msanii hawezi fikia ile maximum peak yake kwa sababu yuko limited na masharti ya kutompita boss wake.

Mikataba ya namna hii ni mibovu kwa sababu inamgeuza msanii husika kuwa mwajiriwa wa lebo husika. Yani mkataba unakuwa haumruhusu kujiendeleza yeye kama yeye bali kuiendeleza lebo.

Hii inafanya kama mko wengi kwenye lebo wote mbweteke na kuondoa ushindani na ubunifu kwa sababu hata ufanye kazi kwa bidii vipi mafanikio yote inabeba lebo wewe unabaki ni ile % mloandikiana tuu.

Pia hii inaleta mgongano wa kimaslahi kwenye lebo kwa sababu anayefanikiwa ataona kama wenzie wanamnyonya jasho lake.

Ndani ya WCB bosi mmojawapo ambaye ni Diamond Platnumz pia ni msanii. Kwa hiyo kusainiwa pale ni kama mchezaji kucheza na kocha wake uwanjani na wote wanataka kila mmoja afunge. Yani ni sawa na wewe uajiriwe kwenye kampuni halafu baadae ufungue kampuni kama ile uloajiriwa. Lazima mchukiane na boss kwani hatopenda kupitwa hasa akigundua unampiku mbinu za kibiashara.
Ndio maana vijana wa WCB wamepigwa pini hakuna kumpita boss wao DP.


Katika dunia ya sasa ni ujinga wa hali ya juu kusaini wasanii kwa kufuata mfumo wa miaka. Wenzetu waliondelea wanamanage kazi za wasanii hawamanage wasanii. Yani the more unavyopiga kazi kubwa na kutoa kazi kali kali ndio unajikuza wewe sio lebo yako.

Sasa hapa bongo eti unawasaini wasanii na kuwalipa mshahara kwa mwezi, unawatafutia na nyumba za kupanga na ki-premio cha 10M ili kuwazuga.

Ndio maana kazi za WCB zikitoka wanaipigia promo weeeeh, mpaka kwa kutumia kiki za ajabu ajabu zinazokinzana na maadili yetu ili tuu kuipa nguvu kazi yao. Lakini unakuta hiyo kazi haivuki hata mpaka wa Namanga pale.

Ndio maana tumeshuhudia hata Diamond mwenyewe akiporomoka kwenye soko la muziki Afrika. Hapati nominations tena kwenye tuzo mbalimbali sababu hakuna kipya alichonacho kulinganisha na mwanzo alivyokuwa anafanya kazi kwa kujituma.

Yani mikataba ya lebo za muziki tanzania haina tofauti na ule mkataba wa bandari ya bagamoyo. Kwa hali hii sijui sekta gani itapiga hatua kwa haraka Tanzania kama urasimu wa mikataba umekamata sekta zote[emoji24][emoji24][emoji24]


View attachment 1190044
Mkuu acha upunguani!!! Usikurupuke kuandika usiyoyajua kwasababu ya chuki zako binafsi. Mof
 
Kuhama kundi sio mbaya hata sehem za kazi zingine pia huwa inaruhusiwa kuacha na kwenda sehem nyingine ila ubaya unakuja pale mnapoanza kumponda diamond na kumuona Hana maana,mara kumuita mnyonyaji wakati aliwasaidia.

labda hujawahi kusoma post zangu huko nyuma kwa sababu huwa sipost kwenye jamvi hili hap isipokuwa kwa kuwa thread hii ni ya kisheria zaid ya kiudaku. Majibu ya jumla huwa siyapendi kabisa, ukinijibu mimi, niambie mimi usiniunganishe na wengine. Mimi sijamponda Diamond popote, at the best nilisema makosa ni kwa wanasheria wao. lakini sasa hizi genralization kuwa "mnapomponda Diamond" kama vile kweli umesoma "ninapomponda" mtu yeyote hapa huwa kweli zinaniudhi sana.
 
2pac alimletea habari za kuleta CEO wa death raw record mafia mwenyewe SUGE KNIGHT, jamaa alitumia pesa nyingi kum brand 2pac halafu akamletea uhuni ikabidi ampoteze kwenye ramani...
Uongo, huyo Suge Knight alishirikiana na CIA kumuua Shakur kwa kuwa jamaa walianza kuharibu kizazi cha black upande wa West side.

Alichofanya Suge ni conspiracy tu, ni kama tunavyoona kwenye movie kama enemy within.
 
lakini tuelewe hii mikataba hii!

muda wa mkataba dont matter mleta maada, inadepend on benefit pande mbili
 
Kipindi diamond ana invest kwa huyu mmakonde hela nyingi ikiwa huyu mmakonde Hana nyuma Wala mbele hata hela ya kulipa nauli ilikuwa shida kwake unafikiri hela zinaokotwa inabidi huyo mmakonde arudishe investment iliyowekezwa kwake na pia wakati anasign huo mkataba si aliamua yeyemwenyewe au alilazimishwa?yaani haya maneno unayoongea utazidi kumuaribia huyo dogo.
[emoji375][emoji375][emoji375]
 
We jamaa unichekesha unataka kuniambia wcb walikuwa hawawekez kwenye kazi zake unafikiri wasingekuwa hawainvest kwenye kazi zake angefika kwenye level hizo?hizo connection za international artists si alipata kupitia wcb video ya kwanza tu ya harmonize ililipwa mil 30.siku nyingine usipende kuandika thread kwa miemuko Bila kufikiri ndo maana 99% wamekupinga na inaonesha umeanza kumfuatilia harmo kipindi ana mafanikio ujawahi kumfuatilia kipindi akiwa Hana chochote na WCB wamefanya kazi kubwa kwake kumbuka harmo alikataliwa bss pia msanii aliyepigwa Vita Sana Bila ya WCB kusimama kidete harmo asingefika hapo.sijaona mantiki yako yakuwalaumu WCB ulitakiwa kuwashukuru.Uzi wako utazidi kumfanya harmo achukiwe Sana na fans wa music especially wanaompenda diamond Sana.
Jamaa hajui kama anamharibia dogo, Harmonize anajitahdi kubalance mambo na WCB kama wanamtetea kiaina, japo Fans wa WCB wanamuona msaliti, Kibaya zaidi fans wa konde boy ndo wanachochea Moto, nyuzi kama hizi za mtoa mada ndo zinadamage Sana career ya konde boy , Mond ana fanbase kubwa Sana, kama konde boy anawaza kumwangusha Diamond nampa pole, Hawezi Kwa sasa, mwenzake yupo extra mile, ashapigwa vita na media kubwa nyingi hapa bongo but still anafight, Harmonize inabidi atumie hekima Sana Kwa mda huu, na kukaa kimya ndo best solution ikiwezekana aendelee kuwapa credit WCB kila inapowezekana hata kama akiondoka, hii itampa matokeo mazur in the long run, but not today

.
 
Tatizo lipo wapi.
Music ni biashara kila mtu analenga faida
Kwani harmonize alijua kama angefik hapo alipofika leo..??
Kwan wcb kipnd wanainvest kwa harmo waliona angefika hapo ...??
Msanii gani wa wcb amepewa promo kuliko harmo..??

Na harmo alipewa promo ili mond awaprove watu wote wrong kwamba anaweza mtengeneza mtu akawa mkubwa.

Tatizo harmo anajiona big kwasababu ni mwaka sasa mond alikua hajatoa nyimbo
Mond akawa anadeal na media
Tobo kwa harmo likaonekana
Akapita
Alaf pia wale mashabik wa kiba ndo wanaosupport huu ujinga
Wale wale waliomkataa kipind cha aiyola leo ndo wanaona anakandamizwa
 
Ndio leo kausoma huo mkataba kauelewa kwani? siku zingine ilitumika ki spanish kwenye huo mkataba? Amepata wa kumtafsiria sio?

Kama anaondoka aondoke kwa amani,kujitetea kwa ujinga kama huu hakumfanyi apande juu ila ataonekana Punguani alie elimika after get into relation with sarah na huyo jembe ni jembe.
Kwa hiyo wewe kinakuuma nini? Hukutaka aelimike? Kila mtu huwa ana pa kuanzia kabla ya kufikia mafanikio. Na yeye Harmonize pa kuanzia kwake palikuwa WCB, sasa kapata uzoefu kwa nini asisimame mwenyewe? unataka amtegemee Diamond mpaka lini? Nenda Harmonize kapambane kivyako. Jua tu kuna kushinda na kushindwa. ukishindwa basi tafuta tena pa kuanzia bila kujali maneno ya watu.
 
Nakala ya mkataba ipo wapi au hisia?

Drake yupo YCMB zaidi ya miaka 10 ,Kanye West yupo chini ya Roc Nation ya Jay Z zaidi ya miaka 10,Emininem yupo chini ya label ya Dr Dree zaidi ya miaka 20 kwa hiyo mimi sioni ajabu.

Mimi naona swala la Harmonize,tuliache muda utaongea ,maanake hizi nyingine ni Chai tu.
Drake ameshajitoa YMCMB
Lil Wayne nae alishajitoa chini ya Birdman a.k.a Baby
 
Back
Top Bottom