WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

Wcb mnajitekena na kucheka wenyew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio ukweli huo mkuu jamaa amepata msaada wa mashabiki kutoka kwa wanao mchukia mond ila mond yuko peke ake anapambana nao vizuri tu


Kwahyo unajaribu kusema kuwa team WCB hawamchukii kiba
 
we umekunywa nini leo??ulichokiandika kisome tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rekodi imevunjwaaaaaaaa 1M viewers in less 48 hours
 
Nyimbo zimejaa hvyo hakuna jinsi ni lazma zipunguzwe siyo kama yule anayejiita king wimbo mmoja anautunga mwaka mzima
 
Team Mond
Kama kawaida jeshi la mtu mmoja mwenye uwezo wa kumfanya kila anayemshika mkono awe mkubwaa tofauti na yule ambae ana mdogo wake anaitwa abdul hadi sasa ni underground mkongwe
 
Hahaaaah naona mme panick...mlikuja kwa mbwembwe sahivi mnatafuta visingizio...sasa kati ya seduce me na zilipendwa ipi ni ya jeshi la mtu mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…