WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

Wimbo anatoa mda wowote wanaotaka wao,wanauwezo wa kutoa wimbo kwa kila saa kwa muda wa siku 365 na nyengine zikabaki stoo
Wanaweza ndio, kwa sababu nyimbo ni za kucopy

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
a54d0a17cfa7ffc2fd7237a46fa34b2e.jpg
PhotoGrid_1503806572582.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na bado mtatafutana sana, yaani ngoma moja tu mnatapatapa kila kona, moja haikai wala mbili haisimami!!!
Yoooooh!!
Wanaotapatapa ni waleee walioungana dhidi ya mtu mmoja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jimbo lote la domo linataja majina ya watu utafikiri tuko rokoo ya shule halafu limwimbo lilerufuuu kama treni ya kati
Ulikua unataka ajisifie na yeye
 
Wanafikiria ni jinsi gani watamshusha dai kuliko hata wanavyomfikiria mungu lakini ndo hvyo tena aliyepewa kapewa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] I can see u coffee table!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu umepanic hujielewi ngoja nikufahamishe ...

Mashabiki wa Alikiba ndo hao hao wa Wema , Jokate, Hamisa na Mange .Pia mashabiki wa Diamond ndo hao hao wa rayvanny ,richmavoko,Queen d, lavalava, harmonize na Bashite....Kwahiyo bado team zipo 2 zilezile ila zinamatawi tu kulingana na upepo unapovumia
Kwa taarifa yako kiba ndio ana mashabiki wake lakini wema ana mashabik wake ambao baada ya kuachwa na dai wakaona hasira zao ni kuwa kumshabikia yoyote anayeshindana na dai na hapo wakajiunga na timu kiba,mange nae hampendi dai hvyo watu wanao mkubali mange wanamsapoti kiba vivo hvyo kwa kina joket sijui hamisa mara dimpoz

Rayvann,harmo,lavalava,mavoko bila ya dai ni mtihani maana mavoko bila wcb tungekua tumeshamsahau hivyo dai ndo amesababisha hawa wakawa na nguvu na siyo hao kina harmo ndo wamemfanya dai awe na nguvu
 
Kwanza diamond hana mashabiki bali ana wanachama.kupitia kwa diamond ndio maana kina lavalava,rayyvan,harmonize wana mashabiki lukuki na ndio maana endapo utataja top20 ya wasanii bora huwez kuacha kuwataja na wasanii wa wcb hvyo diamond ni jeshi la mtu mmoja lililoweza kuwapa nguvu anao washika mikono

Kiba anapata sapoti kutoka kwa mashabiki wake,mashabiki wa wema wa joketi wa mange na mashabik wa dimpoz na sasa wameongezeka mashabiki wa hamisa

Pamoja na kiba kusapotiwa na kundi kubwa la watu kwenye mitandao ila diamond anapambana peke ake yaan n jeshi la mtu mmoja na ana wapeleka puta maadui zake

HAKIKA DIAMOND SIO WA MCHEZO MCHEZO
Ivi ni yupi anawapenda washabiki wake? Kati ya kiba na mondi?
Instagram ya kiba hajawai kum follow mtu ata moja! Ana dharau mpk Meneja wake! Mpz wake na jaa zake wote!
Mondi !! amewa follow zaidi watu! 600 ! Nani zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] I can see u coffee table!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hawajaona boc wawo(Diamond) kampost wema wote kimya. Alafu cjawahi kumuona seven mosha kutuma ujinga kama wa sallam sk. Nja mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peleka upupu wenu hukoo malkia wenu kaanzisha varangati kumbe anasubiri king atoe wimbo naye atoe wa kwao kisa et ushindanishwe huyo hajiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Angekua hajiamini asingetoa wimbo ila kwa vile ana jiamini ndio maana anaweza kufanya lolote kwa wakati wowote hata kama amezungukwa na maadui
 
Kwanza diamond hana mashabiki bali ana wanachama.kupitia kwa diamond ndio maana kina lavalava,rayyvan,harmonize wana mashabiki lukuki na ndio maana endapo utataja top20 ya wasanii bora huwez kuacha kuwataja na wasanii wa wcb hvyo diamond ni jeshi la mtu mmoja lililoweza kuwapa nguvu anao washika mikono

Kiba anapata sapoti kutoka kwa mashabiki wake,mashabiki wa wema wa joketi wa mange na mashabik wa dimpoz na sasa wameongezeka mashabiki wa hamisa

Pamoja na kiba kusapotiwa na kundi kubwa la watu kwenye mitandao ila diamond anapambana peke ake yaan n jeshi la mtu mmoja na ana wapeleka puta maadui zake

HAKIKA DIAMOND SIO WA MCHEZO MCHEZO
Unafaidika vipi kama kijana kupitia haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom