Umemaliza kila kitu mkuuIli uipende hii nyimbo...inabd uwe mshabiki wa wcb[emoji28]
...
Sheikh mukuu, unaangalia wimbo nahuu mweziwcb ni chuo.
Wapo wapi wanaosema zuchu muimba taarab?.
Mnaona alivyo badilika humo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Faida za kula malimao kipindi hiki cha Covid-19.Inazungumza kuhusu nini hasa?
Hapana ni taarifa ya habariHv huu nao ni Wimbo.?
Yaani kundi hilo lote la watu wamekaa chini wakaona waje na takataka kama hii
Huu wimbo ni takataka
Ya kawaida sanaa, nyimbo ya kiwango cha chini,
Kupenda kubaya sana yaani mnaona kabisa hili chongo we unasema kengeza
BubbleGum Music [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Chibunye kaisha wazee
Jimbo baya. Baya. Baya
Asanteni kwa kutazama Video na kuview, Mna weza mkalala sasa kupunguza stress zinazo weza kuwalete vifoHakuna wimbo hapo yani siku zote ray van ndo alikua anatunga hapo "mama kajikata" acheni masikhara af kuna wapumbavu ndo wanataka mlinganisha na konde
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuhuu ndo wimbo wa kwanza wa wcb producer laizer kubadilisha sampo za bits.
Nina hakika huu wimbo utaozesha dodo.
ni wimbo mkali sana tangia afariki michael jackson.kenny ni nyoko
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumapili tunakwenda kusheherekea wapi?
Bila shaka utakuwa umeibiwa simu yako mkuu maana sio bureNyimbo ni kali itaenda viral.
Aisee hako kazuchu ni kapisi flani