Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Sijui nini maana yake Don Clericuzio ....huwa nauona huu msemo pia
Anzisha thread tupate majibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui nini maana yake Don Clericuzio ....huwa nauona huu msemo pia
Anzisha thread tupate majibu.
Joanah, ha ha ha ha nipo bize na neno la Mungu
Joanah, ha ha ha ha nipo bize na neno la Mungu
ha ha ha ha mko chumbani au mko nje?Acha bhana,kwani kuanzisha uzi si dakika 0 tu hapo 🤣🤣🤣
Tena tushakupa na idea
Tuulizie tu hapo mara moja bhana 🤭
ha ha ha ha mko chumbani au mko nje?
ha ha ha ha zinafit lakini?Tuko chumbani hapa
ha ha ha ha zinafit lakini?
Zinini?ha ha ha ha zinafit lakini?
😂😂😂😂Hapa tunaenda na mdundo wa G Nako, Gusanisha.
ha ha ha ha pambana utoe mapacha sitaHapa tunaenda na mdundo wa G Nako, Gusanisha.
Uzi unakuja,baada ya kufaulu intavyuu; hizo zinazowaunganisha zinafit?Zinini?
Weka uzi basi,au wewe unajua maana yake?
ha ha ha ha pambana utoe mapacha sita
Kila kitu kinafit ndio maana bado tupo chumbaniUzi unakuja,baada ya kufaulu intavyuu; hizo zinazowaunganisha zinafit?
ha ha haMzee hii kitu siyo kukomoana, ni kwa afya.
kapicha basi ka kuonyesha angalau miguu miwili iliyounganaKila kitu kinafit ndio maana bado tupo chumbani
Intaviu ina maswali mangapi kabla ya uzi?
Wee msago jishikilie ucdhan kila aliye humu n type yako, wee endelea kubweka na hyo tecno wereva plus kununuliwa bundle ili uisifie dabliusibii, nyokoooooohwe kigagula na beki3 mwenzio Robidinyo tunajua mpo kazini
Huu uzi unahusiana vepee na tabia zangu? Khaaaaaah wee una wazimu au? Wee msago jishikilie
relax then kunywa maji upumzike, usichukulie serious sana mambo ya huku ndaniWee msago jishikilie ucdhan kila aliye humu n type yako, wee endelea kubweka na hyo tecno wereva plus kununuliwa bundle ili uisifie dabliusibii, nyokooooooh
Sent using Jamii Forums mobile app