Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe ww ni bongo flavour
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaa umenichekesha kinoma noma mkuuwema kipapa chake saa hz kinashituka kusikia hzo hela
msiwe mnakurupa tu kujibu maswali mleta mada kaonganisha habari mbili tofauti18% * 2,200,000,000 = 396,000,000 tsh. Jamaa kasema kalipa 35,000,000 ambayo ni sawa na
35,000,000/2,200,000,000 * 100 = 1.59%
Sasa mbona ushuru kalipa asilimia 1.59 tu ? Au ushuru ni asilimia ngapi kwani?
Msinirushie mawe hata sijabisha, nataka kufahamu tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] poa poa kaka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaa umenichekesha kinoma noma mkuu
Duh kwaio jamaa anatoa album sioUsipotoshe hapa diamond na WCB hawajasainiwa na Universal Music bali wameingia partnership tu, tena ni ya kusambaza music wao world wide.
Albam ya diamond(international albam) itakayotoka hivi karibuni itasambazwa na universal music
TRA wanaroho mbaya mkuu[emoji38],yaani Guitar tu hela yote hiyo?!Swala la kodi halikwepeki, siku ukiingia kwenye reli ya TRA huna ujanja lazima ulipe. Kuna siku niliingiza guitar jipya kutoka Sweden nikapigiwa mahesabu nikaambiwa nililipie laki nne mi mwenyewe nilichoka.
Hawajasaini mkataba wa kuwa chini ya Management!!!Yale yale
Mwenzao alisign na sony wakamdhihaki leo wao wameangukia kule kule
Of courseHawajasaini mkataba wa kuwa chini ya Management!!!
Universal wamesaini kama Distributors wa kazi za WCB wasafi!!
Kuna tofauti kati ya Management na Distributors pekee mkuu tafadhali usikurupuke!!
Hao anasema wana kadiliwa kodi ni wale wenye bishara ya mauzo ya siozidi mil20 juu ya hapo unakatwa 30% ya faida yako kwa mwakaAsante mkuu, mimi nilijua ipo fixed rate. Basi sawa.