WCB walipwa bilioni 2 na Universal music, TRA walamba mil 35

WCB walipwa bilioni 2 na Universal music, TRA walamba mil 35

Msanii diamond platnumz na lebal yake ya WCB wamelipwa dola milioni 1 sawa na Tsh.bilioni 2 na campany ya Universal Music Group ili kusambaza nyimbo zao kote duniani kote.
Diamond asema ndo msanii pekee Tanzania na label yake wamelipa kodi milioni 35 TRA.
Amesema kulipa kodi ni jambo na wajibu wa kila mtanzania.
View attachment 438369
Rekebisha Heading mkuu..Diamond amesema kwamba analipa kodi mill 35,hajasema kwamba kwenye billion 2,TRA wamechukua million 35

Kama unakumbuka vizuri wakati wa nyuma diamond Alilipa mill236 kwa Tra,yale ndiyo yalikuwa malipo ya Universal,,sema hakusema diamond kama ni fedha za Universal mpaka leo alipokuja kusema.
 
TRA wanaroho mbaya mkuu[emoji38],yaani Guitar tu hela yote hiyo?!


Wanachukua 40% ya thamani ya kitu chochote ukiingiza kutoka Ughaibuni. Ujanja labda ni kudanganya thamani ya kitu ulichonunua, lakini hata hivyo sio smart move kwasababu mzigo ukipotea njiani malipo ya bima itakuwa hasara.
 
mil 35 kwenye mil 2000 hahahaha utakuwa mwenda wazima wew


Hata hivyo kodi inategemea mkataba umesainiwa wapi, nikupe mfano tu kama walisaini Las Vegas serikali ya Bongo haina chake. Kwa hiyo usijifanye smart kwa vitu usivyovijua.
 
Kuna siku nilibeba subwoofer 2 toka Dubai nikaambiwa nilipe laki 5 ikiwanimenunua laki 3.5
 
1479914876848.jpg
 
Hata hivyo kodi inategemea mkataba umesainiwa wapi, nikupe mfano tu kama walisaini Las Vegas serikali ya Bongo haina chake. Kwa hiyo usijifanye smart kwa vitu usivyovijua.
hongera wew ndo unajua baba mwenye nchi kasema msanii lazma alipe kod sasa unachojua siju nin wew
 
msiwe mnakurupa tu kujibu maswali mleta mada kaonganisha habari mbili tofauti

1 ni hiyo habari ya partnership kati ya wcb na universe

2 diamond amesema yy ndo msaa anaelipa kodi kubwa tra zaid ya 35mil

kwahyo hizo habari mbili tofauti

over

Asante mkuu kwa taarifa. Ila sikuwa nimekurupuka, I've just asked.
 
Chibu chibudeeee utaua watu team wanga wanakesha wanapaa angani kila pande wakushushe we unatusua tuuuu daah kweli ni meamini hataufanyaje huwez liziba jua na ungo
 
dah jamaa anatuchukulia sisi mambulula sana, siku hizi kila kitu kiko wazi mitandaoni, nimejalibu kumtafuta huyu ndugu yetu kwenye list wa wasanii ambao nyimbo zao zinasambazwa na UMG, JINA LAKE SIJALIONA
 
dah jamaa anatuchukulia sisi mambulula sana, siku hizi kila kitu kiko wazi mitandaoni, nimejalibu kumtafuta huyu ndugu yetu kwenye list wa wasanii ambao nyimbo zao zinasambazwa na UMG, JINA LAKE SIJALIONA

Hata alivonunua nyumba sauzi mkaja mkaenda kuitafuta hadi kwenye site ya kuuza nyumba mkasema nyumba bado ipo on sale. Naona na hili mnataka mletewe na picha ya mkataba ndo mtaamini. Na bado mtasema ni edited.
 
18% * 2,200,000,000 = 396,000,000 tsh. Jamaa kasema kalipa 35,000,000 ambayo ni sawa na
35,000,000/2,200,000,000 * 100 = 1.59%

Sasa mbona ushuru kalipa asilimia 1.59 tu ? Au ushuru ni asilimia ngapi kwani?

Msinirushie mawe hata sijabisha, nataka kufahamu tu
Nadhani kuna umuhimu wa kisikiliza tena interview ya Diamond ili umuelewe vizuri Kuhusu hiyo kodi. Mtoa mada ameandika kiushabiki sana na ndio maana wengi wasiosikiliza interview wanachanganya Kuhusu hiyo mil 35 na mkataba alioingia.
 
Back
Top Bottom