Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda atakuwa analipa kodi kwa instalments18% * 2,200,000,000 = 396,000,000 tsh. Jamaa kasema kalipa 35,000,000 ambayo ni sawa na
35,000,000/2,200,000,000 * 100 = 1.59%
Sasa mbona ushuru kalipa asilimia 1.59 tu ? Au ushuru ni asilimia ngapi kwani?
Msinirushie mawe hata sijabisha, nataka kufahamu tu
hahahahahaaaLabda atakuwa analipa kodi kwa instalments
Nakubaliana na wewe! ila ni vigumu kumwambia msanii aandae vitabu vinavyoonyesha shoo zakeKama unafanya biashara yenye turnover ya 20+ Million lazima uandae vitabu vya mahesabu na vikaguliwe na auditors. Hao wasafi wanafanya biashara mbalimbali, ni kampuni.. Na kama wamelipwa 2 Billion hapo lazima 18% iende TRA ambayo ni Millioni 360.. Sasa million 35 ndio tunashangaa hapo muamala umefanyikaje
Na ujira wa ile kazi hautozwi kodi.Chibu analipa kodi yule jamaa mwingine saizi yuko bize anapumuliwa kisogoni daaaah
Capital gain tax ni 25%... ndio kodi stahiliHizo tarakimu ni Fix tupu.
Huwezi ukalipwa Bilioni 2, halafu kodi ikawa ni milioni 35. Yaani sawa na Asilimia 1.75%. Sio kwa utawala huu wa Magufuli.
Kiwango cha chini kabisa ambacho Diamond angepaswa kulipa kama Kodi ni shilingi milioni 360, ambayo ni sawa na 18%.
Kinyume chake ni kwamba, Diamond amekwepa Kodi, au kiasi halisi alicholipwa sio Bilioni 2 bali ni shilingi milioni 194.
Mbona akina Lwambo Luanzo Makiadi, Kofi, Oliver Mtukuzi, etc wameimba kwa lugha zao za asili walitesa na wanatesa dunia nzima?AMEFANYA VIZURI ILI KUONGEZA KIPATO
SEMA INABIDI NYIMBO ZINGINE AONGEZE KIINGEREZA NA KIFARANSA KWA VILE KISWAHILI TU HAITOSHI
Ni malipo ya aina gani hayo 2bn unalipa 35m tax? VAT?
don't be ridiculous.kodi inategemea mkataba umesainiwa wapi, nikupe mfano tu kama walisaini Las Vegas serikali ya Bongo haina chake. Kwa hiyo usijifanye smart kwa vitu usivyovijua.
Mkuu sio Kiingereza cha kujifunza shule hiko.ghaaaa NI BORA URUDI SHULE.
SWISSME
Wakati mimi najiuliza mbona kalipa kidogo hivyo?me nisingekubali mil 35! kwa hali hii! kha! naanzajeanzaje lbd😀
Maybe the whole deal worth 2b but initial payment kodi yake ndio 35m.Ambayo ni 1.75% ya malipo.
Inaitwaje hiyo kodi ya 1.75%
Labda deal yote ina worth 2b. Lakini initial payment kodi yake ndio 35m. Ukisikia mtu kaingia mkataba na kampuni kama adidas wa $5m haina maana analipwa zote mara moja.Shangaa wewe... VAT ni 18%, Income Tax 30%.. Sasa 2 billion kulipa 35 M yaani sawa na 2% ya alichoingiza sijui ni TRA ya wapi wamefanya huo upumbavu
don't be ridiculous.
Ingekuwa hivyo watu wote duniani wangekuwa wanaenda Las Vegas kusaini mikataba yao ili ku vitiate sheria za mikataba ya nchini kwao. I mean, that right there is just a wild, dreadful illusion.