WCB walipwa bilioni 2 na Universal music, TRA walamba mil 35

Walitakiwa kulipa kodi ya milioni 250, kuna wajanja wa tra hapo wameifuta kodi ya ongezeko La thamani na kuwakata ya corporate tax, inayotokana na faida...malipi ya VAT Hanna hapo?
 
Labda atakuwa analipa kodi kwa instalments
 
Watu kwa kukurupuka tu hamjambo! Afu kitu kama hukijui ni bora ukae kimya ufiche ujinga wako! kweli nimeamin sio kila jukwaa JF kuna great thinkers !
 
Nakubaliana na wewe! ila ni vigumu kumwambia msanii aandae vitabu vinavyoonyesha shoo zake
kuna mawili either tra wakapoteza mapato kutokana na kutokuwa na uwazi katika makusanyo yatokanayo na muziki au wakampunja msanii
Ndio dhana iliyopo hapo
 
Capital gain tax ni 25%... ndio kodi stahili
 
Wasafi wanapenda namba ila hawajui hesabu...
Ninachojua mwanatandale kila akitoa nyimbo lazima aje na busta za kiki.
 
AMEFANYA VIZURI ILI KUONGEZA KIPATO
SEMA INABIDI NYIMBO ZINGINE AONGEZE KIINGEREZA NA KIFARANSA KWA VILE KISWAHILI TU HAITOSHI
Mbona akina Lwambo Luanzo Makiadi, Kofi, Oliver Mtukuzi, etc wameimba kwa lugha zao za asili walitesa na wanatesa dunia nzima?
 
Dah....safi sana kwa uzalendo Dogo.... ongezea zaidi ...Na bata kula bongo hii hii[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
kodi inategemea mkataba umesainiwa wapi, nikupe mfano tu kama walisaini Las Vegas serikali ya Bongo haina chake. Kwa hiyo usijifanye smart kwa vitu usivyovijua.
don't be ridiculous.

Ingekuwa hivyo watu wote duniani wangekuwa wanaenda Las Vegas kusaini mikataba yao ili ku vitiate sheria za mikataba ya nchini kwao. I mean, that right there is just a wild, dreadful illusion.
 
Shangaa wewe... VAT ni 18%, Income Tax 30%.. Sasa 2 billion kulipa 35 M yaani sawa na 2% ya alichoingiza sijui ni TRA ya wapi wamefanya huo upumbavu
Labda deal yote ina worth 2b. Lakini initial payment kodi yake ndio 35m. Ukisikia mtu kaingia mkataba na kampuni kama adidas wa $5m haina maana analipwa zote mara moja.
 
don't be ridiculous.

Ingekuwa hivyo watu wote duniani wangekuwa wanaenda Las Vegas kusaini mikataba yao ili ku vitiate sheria za mikataba ya nchini kwao. I mean, that right there is just a wild, dreadful illusion.


Bro Las Vegas nimetoa mfano Tu. Inawezekana ikawa mahali kwingine tofauti na kama utaki sikulazimishi lakini ukweli Ni kwamba kodi inalipwa pale kazi zinapofanyika.

Na Ni hivi watu wengi wanataka mikataba isainiwe kwenye nchi zao ili watu wao wafaidike. Mfano Ni Usain Bolt ameamua mikataba ya wadhanini na advertisements zote zifanyike Jamaica kwa sasa ili kodi zilipwe nyumbani kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…