Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Kuna mtu kaharibu mtiririko mzima wa thread kwa kusema nimedanganya hiyo video haipo, anazijua video zote za interviews zote za Guru.
Bitchniggas wana tabu sana.
hata Masqo piaHata mimi hawapigi nyimbo zangu hii wiki ya pili sasa
Sina uhakika sana ila nakubali GURU was one of the realest nigga out there.Kuna mtu kaharibu mtiririko mzima wa thread kwa kusema nimedanganya hiyo video haipo, anazijua video zote za interviews zote za Guru.
Bitchniggas wana tabu sana.
Yani mtu uanze kudanganya kuhusu video kwa faida gani?Sina uhakika sana ila nakubali GURU was one of the realest nigga out there.
So kama unasema alisema vile naamini b'cuz he always kept it real till his death.
Yani mtu uanze kudanganya kuhusu video kwa faida gani?
Watu waongowaongo huwa wanakuwa na tabia ya kuona kila mtu muongo kama wao, hata pasipo na sababu.
Huyu naye inawezekana muongomuongo, anaona kila mtu muongo.
Halafu ana tabia ya kujikuza aonekane hakuna mtu atakayejua interview ya Guru ambayo yeye haijui.
Hata ukiwa fan mzuri namna gani, huwezi kuwa umeona videos za interviews zote za Guru zilizowekwa mtandaoni, na nyingine zishaondolewa, miaka yote .
Jamaa anataka kutuaminisha anajua interviews zote.
Hilarious.
Haaaah WEW JAMAA UNAMSHIKA MTU PABAYA SANAAUnaona sasa!
Hili ndilo tatizo lako. Post uliyoitoa ni ya uwongo.
Guru hajawahi fanya interview na kuongelea eti ana beef na 50 Cents. Ulichoandika hapo ni uongo mkubwa,umetunga just kujenga post na wewe kuonesha umechangia hii thread.
Tatizo unatakiwa ujibu hoja.Umeshindwa hilo.Attack hoja,acha kutukana watu personally.
Nimekwambia,attach link hapa kuonesha hayo mazungumzo kuhusu eti ana beef na 50.Hajawahi kua nayo,na hiyo interview unayosemea haijawahi tokea,ni uwongo tu umekuzidi.
Acha uongo,mtu mzima kua muongo ni vibaya sana!
Haya tukana!
I just like your comments!!Having Respect & Staying humble
will take us places ,money cant
A nice one!
Sadly, staying humble is a habit that takes years to develop!
It's an art and probably a talent!
It's not for everyone!
Gang starr guru huyu jamaa nyimbo zake ni conscious sana kama moment of truthMiaka michache nyuma kuna siku nilikuwa namsikiliza Guru, rapper wa Gangstarr alikuwa anahojiwa.
Mtangazaji baada ya kumuhoji akamuuliza. Nimesikia una beef na Fifty Cent, tueleze kuhusu hiyo beef.
Guru akawa kama kashangaa, akasema beef gani? Mimi na Fifty tuko poa tu, hatuna beef. Namuheshimu sana Fifty, anafanya kazi nzuri etc.
Guru anavyokandya kwenye nyimbo zake nilikuwa nafikiri angemtukana Fifty.
Na angemtukana ingezia bonge la beef.
Lakini alijionesha kwamba yeye ni OG anayejua "Code of The Street".
Kwanza si kila beef lazima itangazwe na ikuzwe. Kuna vibeef vingine wadau wanakaa chini na kuvimaliza mtaani tu.
Pili hata kama wewe ni OG kiasi gani au matawi kivipi, inakubidi kujua kuishi na watu strategically ili usijiharibie kazi.
Tangu siku hiyo nikamuangalia Guru kuwa si OG tu, bali nibsavvy businesman pia.
Tatizo kibongobongo mtu akishafika level fulani anaona kashamaliza kila kitu.
Humility can be overrated.I just like your comments!!
Be blessed!!
One of the best MCs to ever touch the mic.Gang starr guru huyu jamaa nyimbo zake ni conscious sana kama moment of truth
South ilikuwa dili la sembe na sasa sembe ni noma wanakudaba fasta..Mziki wenyewe kiujumla naona kwa sasa umepoa sana show hawapati wasanii vidili dili vya kwend sauth vimepungua
Mimi mwenyewe KIBAO chake hiki nakikubali sana.Gang starr guru huyu jamaa nyimbo zake ni conscious sana kama moment of truth
mkono mutpu haulambwiFatilia vizuri mkuu. Kama wanapiga ni ile kuua soo ila washapigwa ban ya kiutu uzima