Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,583
Hahahaaa
Alwatan,yaani umeelemewa kiasi hicho mpaka umeamua kua mwalimu wa English?
Hebu tupatie hiyo mysterous interview ya marehemu Keith Elam akielezea beef yake na bwana Curtis Jackson aka "50 Cent".Nadhani nimepatia "50 Cent"!
Waiting!
Wewe kubali huna ujualo, rudi darasa la kwanza jifunze spelling.
Kwanza nipatie mwaka Guru alioanza kufanya interviews ili search yangu nilenge vizuri.
Maana umesema interviews zake zote zipo online.
Unamjua kuliko mkewe, bila aibu.