WCB ya Diamond,kilefu na maana yake

WCB ya Diamond,kilefu na maana yake

Tujaribu kuwasupport wasanii wetu kwa njia yoyote ile.leo wangepost issue yoyote kuhusu msanii wa eurp no one would comment .
 
Jaribu kutofautisha Dimond na boss wako.uwepo wa dimond ni mchango mkubwa sana kwa taifa letu.but u cant see if u have never been outside of Tanzania.
 
unasema kwamba ilichaguliwa BABY ili kuhusisha jinsia zote....
Kuku kweli wewe.. Wewe kama ni baby wa diamond ni wewe tu..
Usitukane watu hapa.

Hahhahahaaa.........mkuu unamaliza mbavu zangu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wasafi Classic Baby mbona haileti maana?!?

Ulitegemea ilete maana kwa mtu ambaye kuandika tu kunampa shida?! Hapo juu jamaa anasema eti waliweka ''baby'' ili kuwakilisha jinsia zote...Hivi katika akili timamu neno ''baby'' linawakilisha jinsia zote?! Anyway shida ya kukimbia shule halafu wanakimbilia english course za wiki mbili.
 
Ni neno analopenda kulitumia Diamond na Bila shaka kuna watu wengi tu wanaojiuliza nin kilefu ama maana ya WCB.
kwanza ifahamike WASAFI.
siyo neno tu la kujifurahisha.kwamba diamond huwa analitamka tu .
WCB(WASAFI) ni brand name ya kampuni ya Diamond.
ambayo ndani yake inahusisha watu tofaut tofaut wanaosaidia/msaidia kaz zake za mziki.
kuna Yeye mwnyewe kama mkurugenzi.
kuna dancers.kuna wabunifu wake rasmi wa mavazi unayoyaona amevaa stejin na sehem zingne.na kwa kila onyesho linalokuwa lina mkabili.
hujadiliana na wabunifu wake ..ni nguo ya aina gan ibuniwe.
pia kuna mtu wa karibu anaehakikisha swala la usalama hususana awapo kwenye kind kubwa la watu.
kuna waandish wa nyimbo.
ana nwanamziki wake ambaye bado hajaamua kumtambulisha rasmi(na akimwachia rasmi,watu watatafutana)
kuna watu wa I.T
kuna watu wanaohusika na uandaaje na uwekaj kumbukumbu za matukio yote ya maisha ya diamond.nazungumzia showz zake.na mizunguko yake na matukio mengne mhim kuna watu wanaorekodi video na picha.popote unapomwona jua nyuma yake kuna wapiga picha wa video na still pics.kuna Dj wake na
kuna graphics designer.mamodo na waigizaj pia.
Hiyo ndio WCB.
ambayo kilefu chake ni WASAFI CLASSIC BABY.
ilichaguliwa baby ili kuhusisha jinsia zote.
weng wakisema b iwe badala ya Boys or brother .hapo wadada wangekua .
wamebaguliwa.na hao wafanya kaz wote hao ni vigum kuwashawish kuhamia kaz nyingine.mfano ukiacha wafnyakaz wengne.. dancers pekee.kwa Tz hakuna dancers wanaolipwa pesa nying kama wale.na hakuna mwanamzik anaeweza kumudu malipo yao.
They hatin eer day...we earning eer day


Pole kwa kuona WCB kuwa ni neno, nikueleze tu WCB sio neno. Halafu kwenye kiswahili tuna ''kirefu'' na sio ''kilefu''.

Ujinga mwingine ni huu mtiririko wako wa hiyo WCB - Mkurugenzi - Dancers- Wabunifu wa mavazi- Walinzi- e.t.c hiyo ndio kampuni pekee yenye Mkurugenzi lakini haina mtu wa masuala ya fedha.

Unaposema hao ndio ma-dancers wanaolipwa zaidi umelinganisha na nani, kwa rekodi zipi?
 
Ni neno analopenda kulitumia Diamond na Bila shaka kuna watu wengi tu wanaojiuliza nin kilefu ama maana ya WCB.
kwanza ifahamike WASAFI.
siyo neno tu la kujifurahisha.kwamba diamond huwa analitamka tu .
WCB(WASAFI) ni brand name ya kampuni ya Diamond.
ambayo ndani yake inahusisha watu tofaut tofaut wanaosaidia/msaidia kaz zake za mziki.
kuna Yeye mwnyewe kama mkurugenzi.
kuna dancers.kuna wabunifu wake rasmi wa mavazi unayoyaona amevaa stejin na sehem zingne.na kwa kila onyesho linalokuwa lina mkabili.
hujadiliana na wabunifu wake ..ni nguo ya aina gan ibuniwe.
pia kuna mtu wa karibu anaehakikisha swala la usalama hususana awapo kwenye kind kubwa la watu.
kuna waandish wa nyimbo.
ana nwanamziki wake ambaye bado hajaamua kumtambulisha rasmi(na akimwachia rasmi,watu watatafutana)
kuna watu wa I.T
kuna watu wanaohusika na uandaaje na uwekaj kumbukumbu za matukio yote ya maisha ya diamond.nazungumzia showz zake.na mizunguko yake na matukio mengne mhim kuna watu wanaorekodi video na picha.popote unapomwona jua nyuma yake kuna wapiga picha wa video na still pics.kuna Dj wake na
kuna graphics designer.mamodo na waigizaj pia.
Hiyo ndio WCB.
ambayo kilefu chake ni WASAFI CLASSIC BABY.
ilichaguliwa baby ili kuhusisha jinsia zote.
weng wakisema b iwe badala ya Boys or brother
.hapo wadada wangekua .
wamebaguliwa.na hao wafanya kaz wote hao ni vigum kuwashawish kuhamia kaz nyingine.mfano ukiacha wafnyakaz wengne.. dancers pekee.kwa Tz hakuna dancers wanaolipwa pesa nying kama wale.na hakuna mwanamzik anaeweza kumudu malipo yao.
They hatin eer day...we earning eer day
mbona big brother kuna wasichana,
 
Nitake radhi kwanza kwa kunitusi.
na kwa faida yako nikujuze tu kuwa.
kwa show za nje pekee.
Bila million 15 hujamchukua na hakunaga nipunguzie..na maombi anapata kila uchwao.
ni yeye tu huchagua aende wap
so ingekuwa show zake hazilip..yani mtu anatoa mamilion yake na anaambulia hasara,
show zingekua zishakatika.
lakin kila cku nje wanamtfuta na dau lake hupanda kila baada ya mda kama bei ya mafuta.
wabish kaz kwenu.

15mil sasa nyie panya wake mnapata nini,manaake hapo bado hajahonga etc.
 
Mshaur amtafute mweka hazina na counsellor,awe ana mshaur kdogo,so unachekelea kula cash yake 2...
 
Back
Top Bottom