Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
anhaa basi wacha tujionee šWala si uchoshi ubongo huu pindi itakapoamua nipo juu mkuyuni nakusubiri huko natoza Kodi š¤£š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anhaa basi wacha tujionee šWala si uchoshi ubongo huu pindi itakapoamua nipo juu mkuyuni nakusubiri huko natoza Kodi š¤£š¤£
Sema Mungu alishakupangia upate kupitia humu kazi yako ikawa kukamilisha....msalimie sanaUkichunguza Bata sana hautaila, yule alikuwa Mali....kumkosa ilikuwa ni kuchelewa kwangu.
Ukipata Mali unabaki unachunguza nini?
Ni mwendo wa kuchapana miti mwanzo mwishoš¤£š¤£š¤£Mnaotarajia kuoa mmeona hii....na ndo uhalisia wa dunia ya sasaš¤
Baada ya kufunga ndoa alijiondoa kabisa humu ndani, yupo kwa ajili ya kulea Familia tu. Salamu nitafikisha.Sema Mungu alishakupangia upate kupitia humu kazi yako ikawa kukamilisha....msalimie sana
Kila la kheri mkubwa!Baada ya kufunga ndoa alijiondoa kabisa humu ndani, yupo kwa ajili ya kulea Familia tu. Salamu nitafikisha.
Aisee,very sadNi mwendo wa kuchapana miti mwanzo mwisho
Kwa hii statement, wallah tena Nyamwi255 watajiandaa wengiHahahaha š
Dada hupoi Wala huboiš¤ø
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
Sema nini To yeye, nyie kulianzisha ndo mnakuwaga madomo zege..!!š¤£š¤£š¤£Mnaotarajia kuoa mmeona hii....na ndo uhalisia wa dunia ya sasaš¤
Tutafanyeje sasa na usasa ndo umejaa..!!!??Mie nasikitika tu ndoa za kisasa hiziā¹ļø
tujaribu kama ni kweli?Wote mnakuwaga na majibu ya hivi, lakini kabla jogoo hajawika mara tatu mambo yanakuwaga kinyume kabisa
hahahaha kumbe,, asante kwa kunipa code zenuKwa mwanamke yeyote, ukianzisha mashindano naye kwamba unampata halafu yeye anasema humpati, hutampata. Ila kama unashindana na shosti yake au jamaa yako, bila yeye kujua, MBONA UNANG'OA TU MZIGO..!!
Aisee,sadTutafanyeje sasa na usasa ndo umejaa..!!!??
Sawa mkuuJidanganye mpendwa wapo wanaume wapo willingly kuoa na kutulia ilimradi uwe serious