Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hayo mambo yanaanzaga kwa haraka basi, huanza taratiiiiibu. Huanza na naku appreciate, inakuja nakuelewa sana, kisha nakuzimia, halafu kinachofuata..................Bado sjaona niliposema ntachepuka
Labda nikwambie kitu kimoja Mimi @- -eeā„ļø nam appreciate yani namzimia ila sijasema ntachepuka naye
Inafata Asante nime enjoyš„²šhalafu kinachofuata..................
Kwani hayo mambo yanaanzaga kwa haraka basi, huanza taratiiiiibu. Huanza na naku appreciate, inakuja nakuelewa sana, kisha nakuzimia, halafu kinachofuata..................
Mtu mpenzi yupo mbali wewe upo arushaSitaki
Mzee wangu yule muache Tu.
Kweli eh ikute mambo yakoMkuu sema tu ukweli we Moyo wako utakuwa tu umenidondokea Mimi š¤£
ndio mnao katisha wanaume kuoa, yaani unaenda kuolewa still una mtu unampendaHahahaha š
Dada hupoi Wala huboiš¤ø
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
Kumpenda sio kosandio mnao katisha wanaume kuoa, yaani unaenda kuolewa still una mtu unampenda
ngoja nijifunze kuanzisha uziWee toa tu
Achana nae njoo kwanguMtu mpenzi yupo mbali wewe upo arusha
š¤£š¤£š¤£ HakikaHawapo humu jf, huku wote ni kataa ndoa.
So badKheee mambo kwa ground ni kizungumkuti.
penda mmoja sio kuwa penda pendaKumpenda sio kosa