raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Nimeenda wapi ephen_ mwenyewe nakutaka ujue 😊raraa reree ni kwamba wewe ni mzembe au ushaenda pm kimyakimya!🤔
Binti anafunguka namna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeenda wapi ephen_ mwenyewe nakutaka ujue 😊raraa reree ni kwamba wewe ni mzembe au ushaenda pm kimyakimya!🤔
Binti anafunguka namna hii
BICHWA KOMWE -Mzee wangu nichagulie Mali Safi basi.
Au wewe sio muuza genge😂
Hahahaha
Nimeona wivu🥸
Naona wivu kwa mchumbako na 8 pipo.Nimeona wivu🥸
😂😂😂😂😂Taja jina usituletee ramli chonganishi ili tuje Pm ujidai unatupenda wote kumbe unataka tu kututumia
Hii code nimeinyaka😂🤸8 pipo.
Mrina ndio atupate masai twenye tuko na doughMrina atakabwa. Aende pale madini’ PSSSF Tower 🤣🤣🤣
Mimi iko taka wewe tu.Kila pisi unaitaka wewe🥸
We nyami wewe!😂🙌ephen_ .,Kwani rora reree ni ME au KE?
Mke waa mtu keshaliwa hapoHahahaha 😂
Dada hupoi Wala huboi🤸
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
Kamalizaneni pasipo na kuku wengi. 😀Hii code nimeinyaka😂🤸
Mbona hatujafanya kitu