We kijana, nakupenda sana

We kijana, nakupenda sana

Makubwa haya, kwanini useme haya na unatarajia kufunga ndoa karibuni...au ndoa changa bado unataka kutoa mpira nje.
We umewaza utelezi tu!
Kwan mlo ni nini?

Au ukimpenda mtu lazima mlalane

Au nimekosea kuonesha appreciation zangu kwake?

Dear @- -ee♥️ usisikilize maneno ya watu..
I really appreciate you en you know Abt this.....
please appreciate me back tuwakomeshe viranga!!
 
Back
Top Bottom