Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Acha waendeleze penzi baada ya ndoa hahahaaaa imekaa kikatili sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha waendeleze penzi baada ya ndoa hahahaaaa imekaa kikatili sana
Nahisi utakuwa umempatia..raraa reree sio huyu kweli
raraa reree mkuu niachie hii maliNampenda sana@- - ee♥️
raraa reree ashindwe yeye tu!Acha waendeleze penzi baada ya ndoa hahahaaaa imekaa kikatili sana
Ndio unaamka nini mkaliAcha waendeleze penzi baada ya ndoa hahahaaaa imekaa kikatili sana
Kwa nini ninywee, mkali kajivutia chombo ni jambo la heri kiumeni😁
Bibi harusi mtarajiwa ameshaweka mikakati ya kuchepuka na wa kuchepuka naye yupo kabla hata ya kufunga ndoa.Kwanini?
raraa reree azame pm mapemaa kabla bibie hajafunga pmKwa nini ninywee, mkali kajivutia chombo ni jambo la heri kiumeni😁
NAE alikuwa ana winda ?mbona ana slogan ya sabuni mkono kataa ndoa
Hakuna pahala nimeandika ntachepuka baada ya ndoa🥲🙏Bibi harusi mtarajiwa ameshaweka mikakati ya kuchepuka na wa kuchepuka naye yupo kabla hata ya kufunga ndoa.
Je, huyo Mume mtarajiwa ana bahati au bahati mbaya?
Amna shida bruh wananisingizia hata sio mm kwanza 😄raraa reree mkuu niachie hii mali
Hapana imekaa kikatili kwa mume mtarajiwaNdio unaamka nini mkali
Wengi wape mkuuAmna shida bruh wananisingizia hata sio mm kwanza 😄
Amekupunguzia mashuzi...!🤸
Mashuzi yale ya mbiriii mbiriii piruuu parachachaaaAmekupunguzia mashuzi...!🤸
HahahahaMashuzi yale ya mbiriii mbiriii piruuu parachachaaa
Yeah! Huu msemo niliambiwa na mama yanguMashuzi yale ya mbiriii mbiriii piruuu parachachaaa