Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Imeisha hiyo Mzee wanguHakuna mkate mgumu mbele ya chai komaa mkali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeisha hiyo Mzee wanguHakuna mkate mgumu mbele ya chai komaa mkali.
Wewe uniki flawa unatuaibisha wagachustan kwa nyege mshindo zako. Sogea hapo mrina upate jibaba la kimasai limetoka mere limeuza tanzanite hata likuhonge five meters (million 5) uache kelele mamalai
Hapana huyo sio huyu mtu Na nusu.
Hawapo humu jf, huku wote ni kataa ndoa.🤣🤣🤣Mnaotarajia kuoa mmeona hii....na ndo uhalisia wa dunia ya sasa🤒
Sjamchana Ila namuonesha dalili ila ni kama hazioni🥺Umemchana, au umemkalia tu kimya naye hana habari?
😄😄 mkuu umeamua kutusagia kunguni tusinase watoto wazuriHawapo humu jf, huku wote ni kataa ndoa.
Hapana huyo sio huyu mtu Na nusu.
Juma pili ya Leo umeamkia wapi?
Mzee wangu tulia basiHawapo humu jf, huku wote ni kataa ndoa.
KATAA NDOA joined the Chat...🤣🤣🤣Mnaotarajia kuoa mmeona hii....na ndo uhalisia wa dunia ya sasa🤒
Wacha nije nikuletee lunch saa hii.Niko job...
Humu vijana wengi hawataki kuoaMzee wangu tulia basi
Wenyewe hawataki ndoa😄😄 mkuu umeamua kutusagia kunguni tusinase watoto wazuri
Wewe ulisema ni timu kataa ndoa😄😄 mkuu umeamua kutusagia kunguni tusinase watoto wazuri
Asanteee ndugu mjumbe.Kubadilisha mlo sio dhambi
Na screenshot ya koment zipo kama ataenda kueditWewe ulisema ni timu kataa ndoa
Muda wao bado lakini wataoa tu amini mwambaHumu vijana wengi hawataki kuoa
Mpitie na@ - -..ee♥️Wacha nije nikuletee lunch saa hii.
Niambie utakula nini
Maneno ya mitandaoni tu na wewe😉Wewe ulisema ni timu kataa ndoa
Kwa kampeni hizi labda asilimia 0.001Muda wao bado lakini wataoa tu amini mwamba