Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
AiseeHahahaha 😂
Dada hupoi Wala huboi🤸
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeHahahaha 😂
Dada hupoi Wala huboi🤸
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
Hahahahaha🤣🤣🤣Mnaotarajia kuoa mmeona hii....na ndo uhalisia wa dunia ya sasa🤒
Hamuna labalai. Shieee. Mududu anatoa wapi? Labda ngusujiii tu na mbesaaiHana mududu
Eh wengine wameposwaKumbe watu humu mnapendana kiukweliukweli🤓
Kwani wewe unapendana kiuongo ongo?Kumbe watu humu mnapendana kiukweliukweli🤓
Mimi sijiuzi sasa maana mrina ndio malaya wapo mie mutoto wa kimasai hii kitu mayeu shie kama inayo namba ake wewe mtumie mimi ni mkalie yeyeHamuna labalai. Shieee. Mududu anatoa wapi? Labda ngusujiii tu na mbesaai
Mimi nachit chat tu🤓Kwani wewe unapendana kiuongo ongo?
Ko huwa unahisi nakuchora sio. Sijapata tu kale ka break in the fence ebu ka make tujibambeKumbe watu humu mnapendana kiukweliukweli🤓
😁😁 kwa hiyo wewe hauna upendo?Mimi nachit chat tu🤓
Kheee mambo kwa ground ni kizungumkuti.🤣🤣🤣Mnaotarajia kuoa mmeona hii....na ndo uhalisia wa dunia ya sasa🤒
Ninao tele! Unapendaje fake id?😁😁 kwa hiyo wewe hauna upendo?
EtiNinao tele! Unapendaje fake id?
Mtu hujawahi kumuona unamzimikia vipi🥸
Kupenda sio lazima kuonana huko ni kutamaniana unatafuta wewe😁😁Ninao tele! Unapendaje fake id?
Mtu hujawahi kumuona unamzimikia vipi🥸
Kila pisi unaitaka wewe🥸Ko huwa unahisi nakuchora sio. Sijapata tu kale ka break in the fence ebu ka make tujibambe
Wewe ushawahi kupenda mtu hujawahi kumuona?Kupenda sio lazima kuonana huko ni kutamaniana unatafuta wewe😁😁
Sijaelewa mkuu😄
Nilishawahi sana tuWewe ushawahi kupenda mtu hujawahi kumuona?