Kipindi nasoma SAUT mwanza(nilidisco), mida flani hvi ya saa Moja nikapigiwa simu Na Mary tukapeana salam then akanambia alikua ananipa hi tu,akakata simu.baada kama ya dakika ishirin akapga tena akaniuliza una miaka mingapi?nikamjibu 23 akakata simu .baada ya robo saa akanipgia tena na kuniuliza nipo wapi nikamjibu nipo Getto nasoma akasema anaoga mara Moja af anakuja kunisalimia,nikamjibu poa njoo.machale yakawa yamenicheza ikabidi nikaoge fasta Na Mimi af nikajiweka sawa then nkaendelea Na msuli.baada ya mda kidogo akawa amekuja akaingia mpaka ndani mlango ulikua wazi ila kuna pazia.basi tukapiga story Mimi huku nikiendelea Na msuli.nahisi alishtuka kua jamaa boya hili ikabidi aanze kujiongeza,nikaskia John naomba nifunge mlango mbu wanaingia,nikamwambia usukume.maraa paaap nikaona analock kabisa Na funguo.af alikua amevaa mini sijapata kuiona.kipindi anaufunga akawa anajitikisa tikisa hv mwanaume nikawa "nimesimama" sa ile anarudi si akaja mazima akanikalia.niliumia kichz hadi nikapiga kelele akanyanyuka fasta akaniuliza umeumia? Nikamjibu ndio.akaanza kushika shika mpini huku ananiambia poleee af kanaangalia usoni,nilipgwa bumbuwaazi.kilichofata sikumbuki.
Ndo chanzo cha kukwepa kupima Ngoma hadi wa leo.
nilimuuliza kwann ilikua vile.akanijibu alikua ana manye....#@ge af washikaji zake ote wakawa hawasomeki but alishukuru tiba alipata.