SuperHb
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 911
- 751
alipatwa na nini mpaka akatangulia?...Ireen alikuwa ananipigia simu kisha ananiambia bila kuvunga. Anataka kuto...bwa. Daima ntamkumbuka Ireen now ametangulia mbele za haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alipatwa na nini mpaka akatangulia?...Ireen alikuwa ananipigia simu kisha ananiambia bila kuvunga. Anataka kuto...bwa. Daima ntamkumbuka Ireen now ametangulia mbele za haki
Mkong'oto nilikuwa napata kwanza tena wa kisawasawa!! mwanzoni sikumuelewa!!! lkn bidae nikatonywa na dadake huyu anataka mambo mpe km ukiona hivi!! sisi ndo tulivyo!!!!Katika hali ya kawaida inaonekana ni vigumu girl kuomba mapigo toka kwa kijana barobaro, lakini hutokea kwa trick flani hivi. Mfano mimi nakumbuka nilikuwaga na mahusiano na mdada mmoja Mwananyamala alikuwa ana style yake ya kuomba mapigo, ananipigia simu akidai anaumwa sanaa, basi kidume najikusanya na vimatunda kwenda kumuona mgonjwa nikifika kwake dogo anaomba mapigo.
Embu na wewe useme sasa, ulishawahi ombwa mapigo?
Hahahah! eti hata mother.Mkong'oto nilikuwa napata kwanza tena wa kisawasawa!! mwanzoni sikumuelewa!!! lkn bidae nikatonywa na dadake huyu anataka mambo mpe km ukiona hivi!! sisi ndo tulivyo!!!!
hata mama anafanyanga hivi hivi kwa mdingi!! .... alaaah kumbe!!
km navoangalia mgongo wakoMi siombi ni vitendo tu!
Km Ndio nini??km
km navoangalia mgongo wako
hicho kimgongo umekipatia kwelikweli yaani tulivo sisi mgongo tu unaweza pata mbali na kazi, gari la barabarani kabisaa!!! siyo lile gari unalowazaKm Ndio nini??
Daah Morogoro hiii
Mada imeshabadilikaKumekucha
Unashauri Nini kifanyike?Huwa naziona kituko
Sijui nini kifanyike.Unashauri Nini kifanyike?
Ukinijibu Kuna kitu ntakuambia.
Oyaaa imekuaje tena !? Wapi huko?
Kamati kuu ya wanga