We member wa Jf mwenzio usiku sijalala

We member wa Jf mwenzio usiku sijalala

Demiss
Binti muwazi mwerevu. Toka nilipo kufahamu natumia muda mwingi kusoma comment zako. Ninapoona jina lako napata furaha. Leo usiku nimekesha nakuwaza. Saa kumi na mbili Alfajiri nikapitiwa na usingizi nikakuota. Demiss nimekuwa mtumwa kwako yani sijui nisemeje uone mateso ninayopitia
Ulikuwa unapigwa pumbu?
 
Nimekumbuka penzi lakoo tamu ulilonipaa

Duhh milele nitakuheshimuu[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Mwezi wa nne nataka tupashe kiporooo[emoji28][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa, basii kama ni hiivyo bora tu umtunuku hicho ulichojaaliwa na Maulana maana isijekua natokea ule mkoa ambao ukiwazingua wanajitia kitanzi

Kwa jinsi aliivolalamika kua hapati usingizi ajli yako basi atakua kashafika ile steji ya kukuona kwenye glass anapokunywa maji😛😛😛
 
Back
Top Bottom