Na wewe Jenga yako ili uwe raisi kama kujenga Ni Sawa Na kujenga Banda la nyasiWabongo wengi kama wewe hata kama ni wa umri mkubwa, fikra zao ni kama za watoto.
Wanapenda kufanyiwa mambo na wengine.
Hawataki kukubali kwamba wao wana wajibu, hawataki kukubali kwamba nchi inajengwa na taasisi imara, watu, hata wakiwa imara vipi, wanapita tu.
Ndiyo maana ni rahsi kusikia watu wanamlikia Magufuli lakini ni vigumu kusikia watu wanajenga taasisi za kuisimamia serikali itekeleze kazi yake inavyotakiwa.
Sahivi Sasa raha yako Ni IPi kuona Mali Za nchi zinapigwa mnada Na wewe upo unakenua ama kuona Bima imeondoa magonjwa muhimu ili watu wajifie ..Hasa unapata raha Gani? Ama labda kuona kwenda Morogoro yanakuwa masaa 6 kisa Barabara Za saa100???Kiongozi anaeuwa sekta binafsi hawezi kuwa kiongozi bora daima, Siuoni ushujaa wa JPM kwakuwa aliua sekta binafsi ambazo ndio chanzo kikubwa cha ajira kwa wananchi.
Kiongozi yeyote ambae atarudia sera za kuua azasi atakuwa anawachimbia kaburi watanzania, mtu aliefanya mamilion ya watanzania wakose ajira kwa kuuwa sekta binafsi hawezi kuwa shujaa, kwenye mizani kikwete yupo far sana kuwa shujaa kuliko jiwe.
Kama ushujaa wake ni kutumbua watendaji wa serikali hapo sawa, Kwangu shujaa ni kiongozo anaepigania ustawi wa wananchi kwa kuzalisha ajira za kutosha kwa kuzipa ustawi bora sekta binafsi na sio kuziua.
Watanzania tulio wengi si kwamba kipindi cha Jiwe tulikuwa na maisha mazuri bali tulikuwa tunafurahia kwa wenye unafuu wa maisha jinsi walivyokuwa wanateseka na ndio hulka ya masikini kuwa na furaha kipindi tajiri anapoteseka.
Kwangu Jiwe hawezi kuwa shujaa hata siku moja.
Unahoja mkuuKiongozi anaeuwa sekta binafsi hawezi kuwa kiongozi bora daima, Siuoni ushujaa wa JPM kwakuwa aliua sekta binafsi ambazo ndio chanzo kikubwa cha ajira kwa wananchi.
Kiongozi yeyote ambae atarudia sera za kuua azasi atakuwa anawachimbia kaburi watanzania, mtu aliefanya mamilion ya watanzania wakose ajira kwa kuuwa sekta binafsi hawezi kuwa shujaa, kwenye mizani kikwete yupo far sana kuwa shujaa kuliko jiwe.
Kama ushujaa wake ni kutumbua watendaji wa serikali hapo sawa, Kwangu shujaa ni kiongozo anaepigania ustawi wa wananchi kwa kuzalisha ajira za kutosha kwa kuzipa ustawi bora sekta binafsi na sio kuziua.
Watanzania tulio wengi si kwamba kipindi cha Jiwe tulikuwa na maisha mazuri bali tulikuwa tunafurahia kwa wenye unafuu wa maisha jinsi walivyokuwa wanateseka na ndio hulka ya masikini kuwa na furaha kipindi tajiri anapoteseka.
Kwangu Jiwe hawezi kuwa shujaa hata siku moja.
Akikujibu basi huyo hatokuwa mccmSahivi Sasa raha yako Ni IPi kuona Mali Za nchi zinapigwa mnada Na wewe upo unakenua ama kuona Bima imeondoa magonjwa muhimu ili watu wajifie ..Hasa unapata raha Gani?
Ivo yaanHe's no more.
Nijenge yangu nini? Nani kakwambia nataka kuwa raisi?Na wewe Jenga yako ili uwe raisi kama kujenga Ni Sawa Na kujenga Banda la nyasi
Hadi nyumbu chama kimeuawa na rushwa wanamkumbuka JPMTunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.
Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.
Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.
Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
Hili unamsingizia hakuna mahala alisema atakiwa rais wa milele, sema tu ninachofahamu hakuamini katika siasa, aliamini katika kuunga nguvu kwa pamoja na kufanya kazi, aliona kwa maono yake siasa ni scam, ndio maana alipoona wapinzani wakimpinga kununua ndege, kujenga reli au kufukuza wafanyakazi hewa, alihisi wanapinga maendeleo akawa anarara nao mbere kwa mbere kwa kuwahisi ni maadui... Ila kiuhalisia siasa hazitotufikisha popote... Nchi masikini kama hizi siasa ni kupoteza muda na kuchelewesha maendeleo...Magufuli alikuwa katili kwenye utawala wa Sheria na democracy Ila out of that he was a wise man
Kosa lililomgalimu na angekuwepo mpaka Leo ni kutaka kuwa rais wa milele kilikuwa kosa kubwa Sana !!
Samia yupo anakodoa tu na kulembua kupaka lipsticks😀😀😀😀
"Na Mimi nataka niseme watanzania mtanikumbuka. Na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nime sacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.
Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.
Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.
Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
Ilo la kutaka kujiongezea muda ndo lilimfanya afeHili unamsingizia hakuna mahala alisema atakiwa rais wa milele, sema tu ninachofahamu hakuamini katika siasa, aliamini katika kuunga nguvu kwa pamoja na kufanya kazi, aliona kwa maono yake siasa ni scam, ndio maana alipoona wapinzani wakimpinga kununua ndege, kujenga reli au kufukuza wafanyakazi hewa, alihisi wanapinga maendeleo akawa anarara nao mbere kwa mbere kwa kuwahisi ni maadui... Ila kiuhalisia siasa hazitotufikisha popote... Nchi masikini kama hizi siasa ni kupoteza muda na kuchelewesha maendeleo...
We also miss Ben Saanane & Azory GwandaTunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.
Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.
Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.
Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.
Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.
Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.
Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaj
huwa nikikumbuka hawa wapinzani uchwara walivopinga kwa nguvu kazi ile ilotukuka ya yule mwamba JPM,i wish ningesajiliwa kwenye kikosi cha death squad ningewapiga chuma mchana kweupe uso kwa uso huku nikizifurahia sauti za kilio chao cha mwisho ilaaniwe CHADEMA na uongozi wao wote.Si Barabara tu!
Yule mwamba hata mawe yatatoa mlio
Pumbavu zao sana hao wauza ngada na mafisadi, bila kuwasahau hao wapinzani ambao wimbo wao kwenye nchi yetu ni wao kuleta maendeleo ya kweli, cha ajabu wao ndio walikuwa wa kwanza kumpiga mawe mpinzani mwenzao JPM ambaye kwa dhati ya moyo wake alojitoa mhanga kuiletea maendeleo ya kweli nchi yetu
Wenye vinasaba vya kishetani utawajua tu!Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.
Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.
Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.
Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
Kama ww ukijilemba kuelekea kwa bwana wakoMagufuli alikuwa katili kwenye utawala wa Sheria na democracy Ila out of that he was a wise man
Kosa lililomgalimu na angekuwepo mpaka Leo ni kutaka kuwa rais wa milele kilikuwa kosa kubwa Sana !!
Samia yupo anakodoa tu na kulembua kupaka lipsticks😀😀😀😀
Mkuu kupigwa mnada mali za wananchi hata kipindi cha jiwe zilikuwa zinapigwa mnada.Sahivi Sasa raha yako Ni IPi kuona Mali Za nchi zinapigwa mnada Na wewe upo unakenua ama kuona Bima imeondoa magonjwa muhimu ili watu wajifie ..Hasa unapata raha Gani? Ama labda kuona kwenda Morogoro yanakuwa masaa 6 kisa Barabara Za saa100???