Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,526
Hongera mamie.. LolThread closed,... nshampata kaja tumeyajenga... kumbe nae kweli alikua mwanaJf.
nimeamini hisia hazidanganyi...
wale mliokuja kudanganya huko piiiemu... endeleeni kujaribu Lotto.
Mi apa[emoji85]Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Ahhahahahahaha wivuuWanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu hujui kama nakusakaAbiria chunga mzigo wako.
Watu wana macho makali kuliko injini za sechi za Google.
Mi kuna mmoja nilimuona sehemu aiseeee kuna wakaka wanavutia ,tishet kavaa imemkaa kama wiliam levy kwa mbali halaf maji ya kunde,mrefu lakin sio kama thabeet aisee nilitupa jicho maana kulikua hakuna namnaa na sijamuona mpka leo natamani nimuone tena nisafishe machoHuyo uzuri wake ule kwa macho tu kwanza.
Watu kama hao ukijuana nao sana ghafla mara nyingine, kwa sababu ushajenga image Fulani ya ajabu kichwani, wanaenda kuku disappoint.
Kweli naweza kuwa nilionwa mahalizali lako linaweza kuja eeh!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji74] [emoji75] [emoji74] [emoji74] [emoji75]basi utakuwa unamfahamu vemayule hawezi kuwa wewe... hana ubandidu wa kimshana.
Wewe mwenyewe ni mzuri lakini?hata nguvu hiyo sikuwa nayo nilibaki tu namtolea macho, afu ana aibu fulani amazing.. ameifanya asubuhi yangu iwe ya baraka..
akija tu piiem ntampa kapicha
nimeanza kumfahamu jana tu.. yaani mambo ya makaburini na tahajudi hana kabisa.[emoji15] [emoji1 [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji74] [emoji75] [emoji74] [emoji74] [emoji75]basi utakuwa unamfahamu vema