Loshoro wa kb
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 201
- 97
ProveWanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi
Hahaha ww jamaa tutake radhi. Mimi nakumbuka nilipendwa na mtoto wa kishua afu mkaleeee. Akawa anatuma wadau kunambia. Mimi nikawa naleta pozi. Huwa najuta sana maana aliolewa na jamaa dah huwa naumia sana nikimkumbuka au kukutana naye.Wanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi
Alikuwa ni mimi dear!Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
anajua bwana anaonekana ni mwanajamiiforum... sikuwa na guts hata za kumface straight...Duh....pole, moyo umedondokea kwenye mwendo kasi
Si ajabu haijui hata jamii forum, sijui utafanyaje sasa, kwa zama hizi ungevunja ukimya pale pale tu mamangu