We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

Maskini dada angu ushakutana na Jinni Ashrafu bila kujijua
 
Vitu vingine bora tu uwe unasema ,kumpata mtu wa aina hiyo isije ikawa kama FBI na DB Cooper
 
Wanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi
Hahaha ww jamaa tutake radhi. Mimi nakumbuka nilipendwa na mtoto wa kishua afu mkaleeee. Akawa anatuma wadau kunambia. Mimi nikawa naleta pozi. Huwa najuta sana maana aliolewa na jamaa dah huwa naumia sana nikimkumbuka au kukutana naye.
 
Alikuwa ni mimi dear!
 
Huyo uzuri wake ule kwa macho tu kwanza.

Watu kama hao ukijuana nao sana ghafla mara nyingine, kwa sababu ushajenga image Fulani ya ajabu kichwani, wanaenda kuku disappoint.
 
Reactions: MC7
yule
Duh....pole, moyo umedondokea kwenye mwendo kasi
Si ajabu haijui hata jamii forum, sijui utafanyaje sasa, kwa zama hizi ungevunja ukimya pale pale tu mamangu
anajua bwana anaonekana ni mwanajamiiforum... sikuwa na guts hata za kumface straight...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…