We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

najua maumivu unayopitia
yaani acha kabisa umenikumbusha mbali kabisa kuna wakaka wazuri mjini hapa?
halafu wakaka watamu utabaki nao kwenye akili na ndoto tu
life is not fair at all

Kwel maisha hayajawah kua sawa, ila tunaish kwa alternative
 
Ungemwambia tu my dia kwanini ujitese kihivyo?Ila I hope atakuwa humu akusikie
 
Kwetu waliniambia atii; Penye miti hakunaga wajengaji. Dah! Yaan initokee kihivi, nadhani ningezimia. Dada naomba ni piemu tu hata ka utanikataa kwani lazima nipeleke kapicha ka jirani yangu kwani yangu itakuua bure kwa mshtuko.
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..

Nipo humu bibie
 
najua maumivu unayopitia
yaani acha kabisa umenikumbusha mbali kabisa kuna wakaka wazuri mjini hapa?
halafu wakaka watamu utabaki nao kwenye akili na ndoto tu
life is not fair at all
Watam umewala et wanaradha gan?
 
Back
Top Bottom