Mwanaume kama wewe ni husband material tunza akiba tunza akiba!! yako dont restrain all your resource kwa ajili ya kusomesha watoto wako kwenye shule za ada ya juu au ufurahisha mke kwa kumpa 100k za saluni kila wiki au kumpeleka holidays kila wikend.
Jitahidi kua modorate katika bajeti zako kuna maisha itakao kua yako peke yako yanao kusubilia hamna atakae kuepo kwa ajiri yako, au watu sio marafiki wako wa kudumu.
Jitahidi almauti akukute usiwe frusrated man. Utujakata hiyo familia yako unaipenda mpaka unakopa benki au Vicoba kumudu na kilipa ada za English medium wana kupenda ila swali lina bakia kwamba for how long watakua na wewe?
Husband material wengi elites wamekufa mapema miaka 55 hadi 65yrs wakati sio wa kulima wameishi mjini kwa mtu wa mjini hicho ni kifo cha mapema, kwasababu wanawekeza sanaa kwa watu wanao kua na maisha yao badaye na wana staafu bila kitu hence frusrated men thus early death.
Jitahidi kua modorate katika bajeti zako kuna maisha itakao kua yako peke yako yanao kusubilia hamna atakae kuepo kwa ajiri yako, au watu sio marafiki wako wa kudumu.
Jitahidi almauti akukute usiwe frusrated man. Utujakata hiyo familia yako unaipenda mpaka unakopa benki au Vicoba kumudu na kilipa ada za English medium wana kupenda ila swali lina bakia kwamba for how long watakua na wewe?
Husband material wengi elites wamekufa mapema miaka 55 hadi 65yrs wakati sio wa kulima wameishi mjini kwa mtu wa mjini hicho ni kifo cha mapema, kwasababu wanawekeza sanaa kwa watu wanao kua na maisha yao badaye na wana staafu bila kitu hence frusrated men thus early death.