We mwanaume usikubali kufilisika kwa ajili ya mke na watoto (family) utakufa na kinyongo

We mwanaume usikubali kufilisika kwa ajili ya mke na watoto (family) utakufa na kinyongo

Ndio maana kila siku nasemaga hapa acheni kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Medium. Pelekeni watoto wenu Kayumba muwasimamie watatusua tu. Hiyo ha kupoteza huko wekeza, jenga majumba, furahia maisha yako. Hujaletwa duniani kusomesha .

Ulikuwaga unanipinga naona sasa umeanza kujipata.
Big up sana mkuu
Mimi nakubaliana na wewe 100% ila sio kumpeleka mtoto kusoma ST ksyumba kule ni mauuwaji ya kimbali tu hamna elimu kati ya wanafunzi 100 walio maliza darasa la saba kijijini kwetu 40 wameolewa early marriage 15 bodaboda 30% wakulima 5. ndo wameenda sekondari, wengine ni vibarua mjini kuna shule za English mediam zina ada nafuu kati ya 150k kwa 300k day kwanini nisimpeleko huku ni mpeleke ya 2m?
 
Mimi nakubaliana na wewe 100% ila sio kumpeleka mtoto kusoma ST ksyumba kule ni mauuwaji ya kimbali tu hamna elimu kati ya wanafunzi 100 walio maliza darasa la saba kijijini kwetu 40 wameolewa early marriage 15 bodaboda 30% wakulima 5. ndo wameenda sekondari, wengine ni vibarua mjini kuna shule za English mediam zina ada nafuu kati ya 150k kwa 300k day kwanini nisimpeleko huku ni mpeleke ya 2m?
🙌🙌🙌🙌
 
Nasema hivi.

Ukiona mwanaume analalamika kwamba ana sumbuliwa na ndoa ama mahusiano, basi tambua kwamba mwanamke wako anakuzidi uwezo wa kufikiria na ndio sababu hauwezi ukamuongoza.
Hivyo basi.

Huyo sio mwanamke sahihi kwako.

Kiasili mwanamke anapenda mwanaume aliemzidi uwezo wa kufukiri na mwanaume awe amekaza.
Hoja hii naiunga mkono asilimia mia
 
Hawa vijana wanajidanganya sana mkuu...
Mwanamke anahitaji mwanaume anaempa solutions, hata kama amemsokota lakini tayari umempa jibu na lazima aamini kwamba jibu la mwanaume wake ndio jibu sahihi...😂
Ndiyo maana vi-thread vya kataa ndoa vinapata support kumbe hawana elimu hii.
 
Siku zote Mimi kwanza kabla ya wengine wote kasoro mtoto asiyeweza jitafutia
Katika kuhudumia familia yako usijisahau kabisa, kwanini mtu anaweza kulipa ada ya 2m kwa mtoto akashindwa kujilipia kifurushi cha compact plus cha dstv cha 90k kwa mwezi uangalie soka ukiwa nyumbani kiliko kuenda vinanda umiza au bar wanao kulazomisha kununua sosa ya 2k ambao ni ya jero kwa mangi.
 
Kama umeamua kutunza familia kwa hiari yako na unajua part yako huwezi kufikiria unalemewa na majukumu ata siku moja, Mwanaume ni provider, security, teacher, care giver, burden carrier na zaidi

Hivi tuta preach vp mwanaume kuwa superior then bitch about majukumu yako?? Ushaona Superman au Batman analalamika maadui wamemzidi wampumzishe kdogo? Mtu yeyote mashuhuri kwenye historia ni mtumishi yani anajitolea kwa faida ya wengine.

Kama huwezi kujitolea kwa ajili ya familia yako usioe acha ku preach ubinafsi hii ni feminism ya kiume sjui tuiitaje.
 
Mwanaume kama wewe ni husband material tunza akiba tunza akiba!! yako dont restrain all your resource kwa ajili ya kusomesha watoto wako kwenye shule za ada ya juu au ufurahisha mke kwa kumpa 100k za saluni kila wiki au kumpeleka holidays kila wikend.

Jitahidi kua modorate katika bajeti zako kuna maisha itakao kua yako peke yako yanao kusubilia hamna atakae kuepo kwa ajiri yako, au watu sio marafiki wako wa kudumu.

Jitahidi almauti akukute usiwe frusrated man. Utujakata hiyo familia yako unaipenda mpaka unakopa benki au Vicoba kumudu na kilipa ada za English medium wana kupenda ila swali lina bakia kwamba for how long watakua na wewe?

Husband material wengi elites wamekufa mapema miaka 55 hadi 65yrs wakati sio wa kulima wameishi mjini kwa mtu wa mjini hicho ni kifo cha mapema, kwasababu wanawekeza sanaa kwa watu wanao kua na maisha yao badaye na wana staafu bila kitu hence frusrated men thus early death.
Majinga mengi humu hayatakuelewa ila akishafika umri wa babake ndio anaanza kukumbuka wakati huo watoto wamemchukua mama yao yeye amebaki kwake na house boy na wanamtumia hela mpaka akiomba tu.
 
Save
Kama umeamua kutunza familia kwa hiari yako na unajua part yako huwezi kufikiria unalemewa na majukumu ata siku moja, Mwanaume ni provider, security, teacher, care giver, burden carrier na zaidi

Hivi tuta preach vp mwanaume kuwa superior then bitch about majukumu yako?? Ushaona Superman au Batman analalamika maadui wamemzidi wampumzishe kdogo? Mtu yeyote mashuhuri kwenye historia ni mtumishi yani anajitolea kwa faida ya wengine.

Kama huwezi kujitolea kwa ajili ya familia yako usioe acha ku preach ubinafsi hii ni feminism ya kiume sjui tuiitaje.
Kama umeamua kutunza familia kwa hiari yako na unajua part yako huwezi kufikiria unalemewa na majukumu ata siku moja, Mwanaume ni provider, security, teacher, care giver, burden carrier na zaidi

Hivi tuta preach vp mwanaume kuwa superior then bitch about majukumu yako?? Ushaona Superman au Batman analalamika maadui wamemzidi wampumzishe kdogo? Mtu yeyote mashuhuri kwenye historia ni mtumishi yani anajitolea kwa faida ya wengine.

Kama huwezi kujitolea kwa ajili ya familia yako usioe acha ku preach ubinafsi hii ni feminism ya kiume sjui tuiitaje.
Save some money bro invest, ukizeeka watoto wanajali mama yao hata uwe baba mzuri kiasi gani kwanza huwezi kuhamia kwa mwanao mzee save some cash hudumia familia moderately acha kujiita superman you ain't built for that hiyo ninreal life sio muvi. Watoto wanakua wanasahau baba zao wewe mwenyewe jiangalie tu sasa piga hesabu ukislzeeka nani atakupa kipaumbele kama haujajiwekeza kuwa na income yako? Hudumia familia but save some money and invest ukizeeka usianze kutoa laana kwa kila mtoto shauri yako. We are fathers yes tunahudumia na tunasom3sha tena ghali haswa sababu ya kipato lakini pia savings ipo mwanaume lazima kuweka mipango utaishia kutoa laana zisizo na mpango unageuka baba msumbufu watoto wana maisha yao baadae so take it from your fellow men usijione bingwa sana dunia hii haiko fair kwa kiumbe anayeitwa mwanaume. Let me put my pen down.
 
dont restrain all your resource kwa ajili ya kusomesha watoto wako kwenye shule za ada ya juu au ufurahisha mke kwa kumpa 100k za saluni kila wiki au kumpeleka holidays kila wikend.

Jitahidi kua modorate katika bajeti zako kuna maisha itakao kua yako peke yako yanao kusubilia hamna atakae kuepo kwa ajiri yako,
Maji umeyavulia sharti kuyaoga, Go all the way for your family!

Kua Baba yani Simba Dume kuna gharama there is a price to pay, Heavy is the Crown. Kila leo tunasema wanawake wabinafsi, naona tunatoka kwenye reli ss, niwe na pesa nisimpe mke hela ya saloon? Upuuzi.
 
Maji umeyavulia sharti kuyaoga, Go all the way for your family!

Kua Baba yani Simba Dume kuna gharama there is a price to pay, Heavy is the Crown. Kila leo tunasema wanawake wabinafsi, naona tunatoka kwenye reli ss, niwe na pesa nisimpe mke hela ya saloon? Upuuzi.
Hujaambiwa usihudumie family, hujaambiwa usimpe mkeo pesa au usipeleke familia on vacation lakini weka pesa weka miradi ambayo ukizeeka au ukiumwa itakuhudumia. We have seen men wakiwakosa huduma wake zao wanawakimbia simply hana uwezo tena mke anaanza kuliwa huko sababu hana wa kumpatia tena watoto hawahudumii baba yao hii sio hadithi kama imetokea huwezi kujua kwako itakuwaje. Keep your bag secured dont play a big spender usije kuanza kutoa laana uzeeni. Usiseme hatujakuambia. Its a men's talk.
 
This is a fact. A man pays the price, using all his energy to become sb and one will now be dictating for him? No!
 

Attachments

  • 20240910_182948.jpg
    20240910_182948.jpg
    39.9 KB · Views: 3
Save


Save some money bro invest, ukizeeka watoto wanajali mama yao hata uwe baba mzuri kiasi gani kwanza huwezi kuhamia kwa mwanao mzee save some cash hudumia familia moderately acha kujiita superman you ain't built for that hiyo ninreal life sio muvi. Watoto wanakua wanasahau baba zao wewe mwenyewe jiangalie tu sasa piga hesabu ukislzeeka nani atakupa kipaumbele kama haujajiwekeza kuwa na income yako? Hudumia familia but save some money and invest ukizeeka usianze kutoa laana kwa kila mtoto shauri yako. We are fathers yes tunahudumia na tunasom3sha tena ghali haswa sababu ya kipato lakini pia savings ipo mwanaume lazima kuweka mipango utaishia kutoa laana zisizo na mpango unageuka baba msumbufu watoto wana maisha yao baadae so take it from your fellow men usijione bingwa sana dunia hii haiko fair kwa kiumbe anayeitwa mwanaume. Let me put my pen down.
Hyo superman ni figure speech tu sawa tuchukulie simba dume kwenye himaya yako

Kwanza huwezi kuhudumia kuliko uwezo wako hii ndo key point, pili saving money na kujitoa havihusiani ku save ni lazima hasa kwa baba wa familia akiba muhimu! So unaweza save money na ku provide na hili ndo lengo

Point yangu kama umeamua kuoa lazima ujitolee 100% mindset gani za kipuuzi kushauriana ubinafsi? Una save ndio ila kipaumbele ni watu wa himaya yako! Kuna utofauti gan hiyo mindset yako na feminist? Na nan kakupa guarantee utaishi hadi uzeeni? Point ya msingi tutafute sana na ku save zaidi na kwa style hyo sahau mwanamke kua loyal kwako.
 
Hujaambiwa usihudumie family, hujaambiwa usimpe mkeo pesa au usipeleke familia on vacation lakini weka pesa weka miradi ambayo ukizeeka au ukiumwa itakuhudumia. We have seen men wakiwakosa huduma wake zao wanawakimbia simply hana uwezo tena mke anaanza kuliwa huko sababu hana wa kumpatia tena watoto hawahudumii baba yao hii sio hadithi kama imetokea huwezi kujua kwako itakuwaje. Keep your bag secured dont play a big spender usije kuanza kutoa laana uzeeni. Usiseme hatujakuambia. Its a men's talk.
Mjomba kwanza ntakua fala kumpa mwanamke hela ya saloon kama sina akiba nzuri, hayo matumizi ni ziada unafanya pale unamudu tu! Utapeleka watu vacation kama huna balance mkuu??

Am gon keep my bag, but i wont hold it on my loved ones neither hommie.. its whr we divert bruh. Thats the difference btn me and u
 
Hyo superman ni figure speech tu sawa tuchukulie simba dume kwenye himaya yako

Kwanza huwezi kuhudumia kuliko uwezo wako hii ndo key point, pili saving money na kujitoa havihusiani ku save ni lazima hasa kwa baba wa familia akiba muhimu! So unaweza save money na ku provide na hili ndo lengo

Point yangu kama umeamua kuoa lazima ujitolee 100% mindset gani za kipuuzi kushauriana ubinafsi? Una save ndio ila kipaumbele ni watu wa himaya yako! Kuna utofauti gan hiyo mindset yako na feminist? Na nan kakupa guarantee utaishi hadi uzeeni? Point ya msingi tutafute sana na ku save zaidi na kwa style hyo sahau mwanamke kua loyal kwako.
Mzee umejieleza halafu unaanza kuchanganya mafaili. Feminist anaingiaje hapa aisee? Hebu fahamu kwamba kutumza familia haihitaji majadiliano lakini kutunza pesa ya uzeeni au akiba ya emergencies inahitaji majadiliano huwezi kujiita baba huna akili ya kusevu pesa na kuamini kwamba utaishi utazeeka na kuona familia yako ikikua na kumea sasa unamiliki familia ya maana gani kama mwanaume? Usibishan3 kwa kubisha tu kuwa reasonable its a men's talk.
 
Well, live your life
Mjomba kwanza ntakua fala kumpa mwanamke hela ya saloon kama sina akiba nzuri, hayo matumizi ni ziada unafanya pale unamudu tu! Utapeleka watu vacation kama huna balance mkuu??

Am gon keep my bag, but i wont hold it on my loved ones neither hommie.. its whr we divert bruh. Thats the difference btn me and u
 

Attachments

  • 20240911_041600.jpg
    20240911_041600.jpg
    85.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom