Siku mbaya kazini leo. Uamuzi wa kumuanzisha Manula ulitokana na uoga pia. Yule Salim angeweza kucheza vizuri. Approach ya Simba kwenye mechi ya leo ilijaa uoga sana.Mzee leo umewaweka juu ya meza vitano vya haraka๐๐๐
Vipi Ayubu uwekezaji ulienda tenge?Siku mbaya kazini leo. Uamuzi wa kumuanzisha Manula ulitokana na uoga pia. Yule Salim angeweza kucheza vizuri. Approach ya Simba kwenye mechi ya leo ilijaa uoga sana.
Kuhusu Ayubu, hasara yake mwasibu bado hajaifanyia kazi ๐Vipi Ayubu uwekezaji ulienda tenge?
OKW BOBAN SUNZU
Hahaaaa, mhasibu leo kimyaaa.Kuhusu Ayubu, hasara yake mwasibu bado hajaifanyia kazi ๐
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuhusu Ayubu, hasara yake mwasibu bado hajaifanyia kazi [emoji28]
Mwasibu muda huu ameshalala, kesho anawahi job ๐ ๐ ๐Hahaaaa, mhasibu leo kimyaaa.
Hata mimi nimefurahi kipigo cha leo ili mashabiki maandazi wajue kwamba timu yetu mbovu. Tukiongea ukweli tunatukanwa.Ngoja wapigwe maana watu wanaambiwa hawasikii. Piga kabisa.
Huyu jamaa hovyo kabisa analipwa mshahara kuongea pumba kama anasimulia hadithi , eti anamkaribisha gamondi Kwenye mazoezi ya simba !!!!Ushindi wa Leo umwendee Ahmed Ally. Jamaa alikuwa anaongea kinyesi kwelikweli. Huyu alipaswa kuwa muimba taarabu angefaa sana.
Kabisa aisee, yaniJust a bad day in the office.
Kabisa, wachezaji wetu kipindi cha pili walionekana wachovu sanaHii mechi ilikuwa Mpambano wa Fitness aliyekuwa na strong fitness ndiyo alishinda game musimuonee kocha Hata kidogo
Yes bad day lkn hayo maneno ya jamaa mtoa Post hapo Kama yanamashiko ivi, au we unaionaje ?Just a bad day in the office.
Kwahiyo timu yote ni mbovu?Tatizo la Simba sio kocha pekee. Simba ina kocha m'bovu na wachezaji wachovu waliotumika miaka mingi. Mzamiru, Kapombe, Zimbwe, Saido na, Chama hawawezi kuipa mafanikio tena. Halafu kuna wachezaji wasio na kiwango cha kucheza Simba kama Kanoute, Onana, na Miquisson.
Pia anaesimamia suala zima la usajili Simba amefeli vibaya mno.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Nina wasiwasi kua wenda GENTA MY CINE ndio huyo Ahmed Aly anae tusumbua humu.Ushindi wa Leo umwendee Ahmed Ally. Jamaa alikuwa anaongea kinyesi kwelikweli. Huyu alipaswa kuwa muimba taarabu angefaa sana.
Yeye pamoja na CAPO DELGADO wameama nchi, naimani wapo Palestine kwa sasa.Hahaaaa, mhasibu leo kimyaaa.
Kubalini hamna timu pale.Kabisa, wachezaji wetu kipindi cha pili walionekana wachovu sana