Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Tutaoa vipi wakati pesa hatuna kazi wanapewa wazee wa miaka 70 na vijana tupo
Kwamba kazi ni lazima upewe? au kazi unatafuta ya kufanya?. Huku duniani unaweza kujitetea kwamba huna kazi ya kufanya?
 
Hata kuoa siyo lazima. Kwanini unatulazimisha tuoe? Huku duniani kuna mtu anakulazimisha uoe?
Kwamba kazi ni lazima upewe? au kazi unatafuta ya kufanya?. Huku duniani unaweza kujitetea kwamba huna kazi ya kufanya?
 
Uliposhauri wazuie na UPN ndio umeonyesha jinsi uko shallow na una uelewa FINYU sana kuhusu Vitual Private Network (VPN).

Mkuu hata C.I.A ya Marekani wameshindwa kucrack VPN hapo Kolomije ndio wataweza ?!! China na technology yao na udictetor wa kufungia mitandao waChina wanatumia VPN na serikali yao imeshindwa kuzuia ip address diversion za VPN hapo nchi isiyoweza hata kutengeneza betri ya saa ndio wataweza ?! ebv !!
 
Mama Pasco Capt Tamar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…