Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ndugu..mambo ni bambamSafi sana kama zimefungiwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu..mambo ni bambamSafi sana kama zimefungiwa...
Inawezekana kwa Maombi - JIWE!Uliposhauri wazuie na UPN ndio umeonyesha jinsi uko shallow na una uelewa FINYU sana kuhusu Vitual Private Network (VPN).
Mkuu hata C.I.A ya marekani wameshindwa kucrack VPN hapo Kolomije ndio wataweza ?!! China na technology yao na udictetor wa kufungia mitandao waChina wanatumia VPN na serikali yao imeshindwa kuzuia ip address diversion za VPN hapo nchi isiyoweza hata kutengeneza betri ya saa ndio wataweza ?! ebv !!
kama baba H hayupo , moto unaupatia wapi?Nikihisi hamu namwambia baba H mwenzio nataka haki yangu ya ndoa ananipelekea moto nakuwa mwepesiiii
Walinde pia kwenye filamu na miziki ya kudhalilisha! Kuna video nyingine za miziki mingine huwezi angalia na watoto.Serikali ina wajibu wa kulinda jamii ki-maadili.
Nashangaa sijui watu wanakwama wapi..manake mimi maisha yangu yote ni VPN ...hata JF huwa napitia kwenye VPN nimeshakuwa addictedNi mwendo wa VPN tu, wadau wa CHAPUTA hatukubali kuhujumiwa.
Alafu wanajidaigi hawaangalii wakati wao ndio wanaongoza🤣🤣🤣🤣Kwahio we pilau huchekigi? Hamna watu wanaopenda Pilau kama KE
Nchi ya ovyo sana hii!badala ya kushughulikia mambo ya uhalifu kama panya road et al!wanahangaika na porn sites etc!Nasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Kwako mkuukama baba H hayupo , moto unaupatia wapi?
Duniani kila mtu na starehe yake kuna watu wanapenda sex,wapenda pombe,n.k so usilazimishe kile wewe unapenda na mwenzio yuko hivyo🤷🏼♀️Alafu wanajidaigi hawaangalii wakati wao ndio wanaongoza🤣🤣🤣🤣
Kumbe wanaoenda kuangalia jinsi wenzao wanavyogegedwa
Mie sijalazimisha bwana takwimu ndio zinaongea bwanaDuniani kila mtu na starehe yake kuna watu wanapenda sex,wapenda pombe,n.k so usilazimishe kile wewe unapenda na mwenzio yuko hivyo🤷🏼♀️
Takwimu hizo za mchongo 😁Mie sijalazimisha bwana takwimu ndio zinaongea bwana
Haziwezi kuwa za mchongo maana wametoa wadhungu...ingekuwa wabongo kweliTakwimu hizo za mchongo 😁
Oooh kumbe Wazungu itakuwa ni huko mambele huku tuko bizze na vikoba hatuna mda wa kuangaliaHaziwezi kuwa za mchongo maana wametoa wadhungu...ingekuwa wabongo kweli
Kama mama JNinachojua Mwanamke yeyote yule anayependa kujichua ni lazima awe muangalia porno mzur Sana[emoji41]View attachment 2358631
Thanx sikujuaNdio
Kwamba mie ndiye nayetaka kuelekezwa? Huku nilipo hazijazuiwa mkuu.