Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
Tupo tuna serereka nazo km kawaaaa, yaan km hakijatokea kitu.
BUKOBA LANDTupo tuna serereka nazo km kawaaaa, yaan km hakijatokea kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupo bize na DP DubaiNasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Zitupie mkuuNatumia telegram, kuna channel za kikenya very bombastic.