Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Ukiwa kama Mtanzania mwenye ufahamu juu ya tovuti za ngono yapi maoni yako baada ya TCRA kuzuia tovuti hizo hivi karibuni?

Je, hatua hii kwako unaichukuliaje?
 
Tumia VPN inaitwa UPX Ila sikupenda ku share na wewe dhambi Mimi nimeshaacha dhambi hizo
 
Kusema kweli sijapenda na ninamalalamiko makubwa sana juu ya hilo! Haswa kwa sisi warahibu wa ngono tunadharirika na tumeathirika hatujui style mpya,hamu haipo Tena nimateso makubwa
 
Natumia telegram, kuna channel za kikenya very bombastic.
 
Tupo bize na DP Dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…